Imevuja, Mshindi wa Ballon d’Or 2021 ni Lewandowski
Mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or ameshajulikana baada ya orodha ya majina kuvuja na picha iliyoonekana katika mitandao ya kijamii inaonesha straika wa Bayern Munich ndiyo mshindi wa tuzo hiyo …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or ameshajulikana baada ya orodha ya majina kuvuja na picha iliyoonekana katika mitandao ya kijamii inaonesha straika wa Bayern Munich ndiyo mshindi wa tuzo hiyo …
Orodha ya majina 30 yanayowania tuzo ya Ballon d’Or, mwaka huu ilitolewa siku ya Ijumaa alasiri na Jarida la Soka la Ufaransa. Sherehe hizo zitafanyika mwezi Novemba 29 baada ya …
Inafahamika wazi kuwa nia kubwa ya Paul Pogba ilikuwa ni kujiunga na Real Madrid. Nyota huyu wa Ufaransa bado ana mkataba na Man United ambao unafika tamati mwisho wa msimu …
Eduardo Camavinga ana umri wa miaka 18 tu na ni hazina ya baadaye kwa Real Madrid, lakini kiungo huyo Mfaransa ana changamoto kubwa mbele yake na moja ambayo wachezaji kadhaa …
Licha ya kumkosa Kylian Mbappe katika dirisha lililopita la usjaili Real Madrid haijakata tamaa bado wapo kwenye mipango ya kumleta Bernabeu mshambuliaji huyo wa Ufaransa ambaye mkataba wake na PSG …
Real Madrid inaonekana kuwa bila Nacho kwa safari yao ya kukabiliana na Real Betis, huku beki huyo wa kati akijipanga kuukosa mchezo sababu ya kuumia. Nacho alipata jeraha la misuli …
Dani Carvajal amesaini dili ya mkataba wa miaka minne na Real Madrid, ambao utamfunga mpaka mwaka 2025. Beki huyo wa upande wa kulia ameungana na kiungo Luka Modric na beki …
Wawakilishi wa Raphael Varane wanatarajia kukutana na Manchester United wiki hii kwa tuamini la kukamilisha uhamisho wake kwenda Paremier League. Beki huyo wa kati, ambaye kandarasi yake inaisha miezi 12 …
Mechi kubwa leo katika LaLiga inawakutanisha Miamba wawili wa Uhispania Real Madrid wakiwa uwanja wa nyumbani Estadio Alfredo Di Stefano dhidi ya Barcelona wakikamilisha mechi ya 30 kaatika harakati za …
Msimu wa LaLiga 2020-21 tumeshuhudia zama mpya kwa Barcelona baada ya kugubikwa na taarifa za mfungaji bora wa muda wote Lionel Messi kutaka kuondoka. Alibakia, lakini ni haki kusema kwamba …
Kocha mkuu wa Klabu ya Real Madrid, Zinedine Zidane amesema kuwa sababu kubwa ya timu yake kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Atlanta kwenye mchezo wao uliochezwa Februari 24 …
Tetesi zinasema Arsenal imeafikia makubaliano ya kumsani kiungo wa kati wa Norway Martin Odegaard, 22, kwa mkopo kutoka kwa Real Madrid. The Gunners wamekubali kulipa dau la £1.8m kumsajili Odegaard …
Sergio Ramos yuko huru kuzungumza na vilabu vya Ligi ya Premia na Real Madrid bado hawajampa mkataba mpya nahodha huyo wa The Blancos. Mabingwa watawala wa Spania watapoteza mali ya …
Pengine 2021 ukawa ni mwaka wa kihistoria kwenye ulimwengu wa soka, hii ni kutokana na idadi ya wachezaji huru kuwa ni kubwa sambamba na ukubwa wa majina yao. Baadhi ya …
Eden Hazard alitokea benchi katika mchezo wa La Liga Elche walipo waalika Real Madrid uwanjani Estadio Manuel Martínez Valero. Hazard aliingia uwanjani zikiwa zimesalia dakika 13 mchezo kuisha ambapo …
Tetesi zinasema Chelsea tayari inafanya mazungumzo na mlinzi wa Brazil Thiago Silva, 36, kuhusu kuongezwa kwa kandarasi yake kwa mwaka mwingine hadi 2022. Arsenal inamfuatilia aliyekuwa mchezaji wao Yunus Musah, …
Moja ya vitu vilivyoathiriwa na mlipuko wa COVID19, ni mishahara ya wachezaji. Real Madrid kama zilivyoklabu zingine, bado inahaha kwenye kuongeza mikataba ya wachezaji wake. Mkataba wa nahodha wa Real …
Tetesi zinasema Mshambuliaji wa Juventus na Argentina Paulo Dybala 26 ambaye amehusishwa na uhamisho wa kuelekea Tottenham pamoja na Man United yuko katika mazungumzo ya kusaini mkataba mpya na klabu …
Mabao mawili ya kipindi cha pili kutoka kwa Sergio Ramos na Luka Modric yanaipa alama tatu Real Madrid katika El Clasico ya Kwanza ya Msimu huu wa Laliga. [Fati ⚽ …
Cristiano Ronaldo na Sergio Ramos waamua kuweka tofauti zao pembeni na kujumuika pamoja, sambamba na Pepe. Katika mchezo huo uliowakutanisha Portugal dhidi ya Spain ulioisha kwa suluhu ya 0-0, iliwakutanisha …