KICHUYA AINGIA RADA ZA JKT TANZANIA

Nyota wa zamani wa Simba, Mtibwa Sugar na Namungo Shiza Kichuya mkataba wake na klabu ya Namungo Fc umemalizika sasa yupo huru kwenda popote.

Na taarifa zinaeleza kuwa nyota Kichuya kwasasa anatajwa kuelekea katika klabu ya JKT Tanzania na APR kutokea pale nchini Rwanda.

Kwasasa kinacho subiriwa ni yeye chaguo lake ni wapi kubaki Tanzania au kwenda nchini Rwanda.

Ingawa timu zote zimeonesha nia ya kuitaka saini yake.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.