LAMECK LAWI ASAINI MIAKA MITATU SIMBA
Makala iliyopita
KAGOMA AWAGOMBANISHA SIMBA NA YANGA
“Lameck Lawi ni mali ya Simba na ameshapewa Baraka zote na viongozi wa Coastal Union. Azam FC walikuwa kwenye nafasi nzuri ya kumchukua, lakini Simba wakafika juu zaidi na wakamsajili,” alisema mtu huyo.