Pa Omar Jobe Atemwa Simba
Makala iliyopita
Ten Hag Akiri Kumaliza Tofauti na Sancho
Makala ijayo
Manchester United Wanaweza Kupindua Meza kwa Yoro
Moja ya wachezaji ambao mazungumzo yake na klabu ya Simba yamekua ya muda mrefu kwakua walikua wanashindwa kufikia muafaka kutokana na madai ambayo angetakiwa kulipwa mchezaji huyo kama angevunjiwa mkataba, Lakini leo klabu hiyo imeamua kuachana nae ni wazi wamekubali kumvunjia mkataba mchezaji huyo na kumlipa stahiki zake.