Simba wanamfuatilia mshambuliaji wa Asante Kotoko Steve Dese Mukwala, ambaye amekuwa na kiwango bora na klabu hiyo ya nchini Ghana. Jiachie kwa kubashiri na Meridianbet, odds kubwa na machaguo kibao. Jisajili hapa.
Nyota huyo pia anakipiga kwenye timu ya taifa ya Uganda na amewahi kuchukua tuzo ya Mchezaji bora wa Mashabiki nchini Uganda.
Steve Dese Mukwala atawasili Afrika Mashariki kwa ajili ya majukumu ya timu ya taifa kisha atasafiri kuja Dar Es Salaam kusaini kandarasi na Simba, kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya uhakika tayari mchezaji huyo yupo safarini kutoka Ghana kurejea nchini Uganda. Kuwa sehemu ya mafanikio ya maisha yako kwa kucheza kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, kila siku Mamilioni yanatolewa, leo ni zamu yako.
Mchezaji huyo msimu amefunga mabao 12 kwenye Ligi ya Ghana, na kwa mujibu wa Transfermarket dau lake la usajili linafika dola 175,000/= sawa na Tsh Milioni 456.
Timu alizowahi kuchezea hadi sasa ni, Vipers SC, Maroons FC, URA FC zote za Uganda, na Asante Kotoko.
Simba inaendelela kufanya mambo yake chini ya kapeti, huku ukitupia macho zaidi kwenye ukanda wa Afrika Magharib na nchini DR Congo, ili kujaribu kuona namna gani wanaweza kupata wachezaji wazuri.
Mpaka sasa mchezaji aliyesainiwa kutoka DR Congo ni Elie Mpanzu winga, anayetumia mguu wa kushoto na ana sifa ya kupiga mashuti nje ya 18.
Beti kishujaa na shinda kibabe, cheza kasino ya mtandaoni kwa michezo mingi ya sloti na michezo mbalimba.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.