Yanga waipania Tanzania Prisons

Uongozi wa klabu ya Yanga umefunguka kuwa hasira zao zote zipo kwenye mchezo wa kesho jumapili dhidi ya Tanzania Prisons.

Yanga waipania Tanzania Prisons

Hiyo inakuja baada ya kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Ihefu kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Highland Estates, Mbarali Jijini Mbeya.

Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema “Maandalizi yetu yamekamilika kuelekea kwenye mchezo wetu wa kesho dhidi ya Tanzania Prisons.

“Tanzania Prisons ni timu ngumu mara zote ambazo tunakutana nao hivyo tutaingia kwa kuwaheshimu lakini sisi tuna hasira nao kutokana na matokeo tuliyoyapata kwenye mchezo uliopita.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.