Tambwe aanza kutupia ligi kuu

Straika wa zamani wa Yanga na Simba ambaye kwa sasa yupo kwenye kikosi cha Singida Big Stars, Amosi Tambwe ameanza kutupia mabao ndani ya ligi kuu.

 

Tambwe aanza kutupia ligi kuu

Tambwe alikuwa na kikosi hicho msimu uliopita ambapo alifanikiwa kuwa mfungaji bora wa kikosi hicho kilichokuwa kinashiriki michuano ya Championship.

Nyota huyo alifunga bao jana ijumaa dhidi ya Namungo ambapo Singida Big Stars waliibuka na ushindi wa mabao 3-0.

Mabao mengine ya Singida yamefungwa na Meddie Kagere na Said Ndemla na kuisaidia timu hiyo kufikisha jumla ya pointi 30.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.