Mashabiki wa Yanga Princess Watoa Maoni Kuachwa kwa Makocha Edna Lema na Mmachinga

Klabu ya Yanga Princess imeachana na kocha mkuu wa timu hiyo ya wanawake Edna Lema ‘Mourinho’ pamoja na kocha msaidizi Mohammed Hussein (Mmachinga).

 

yanga

Taarifa hii imetolewa na klabu hiyo na inaeleza kwamba, hivi karibuni klabu ya Yanga Princess itatoa taarifa kuhusiana na mbadala wa nafasi hizo.

Bado sababu za kuachwa kwa makocha hao wawili hazijawekwa wazi, lakini inadhaniwa kwamba matokeo mabaya inayoyapata klabu hiyo chini ya makocha hao, ni moja ya sababu ya kuvunjwa kwa mkataba wao.

 

yanga

Baada ya taarifa hiyo mashabiki mitandaoni walikuwa na maoni tofauti kuhusu uamuzi huo.

“Hii mmechelewa nafikiri wakati mwingine ukiona kitu hakifai ni bora kutafuta replacement kabla ligi haijaanza ingekua bora zaidi maana kuleta mtu mpya maana yake tunaanza upya kutafuta chemistry (muunganiko) ya/wa wachezaji kutafuta mpango mpya kuanza kusema mchezaji huyu hanifai haendani na mfumo sijui haya nyie ndo wajuaji tunategemea mtatafuta mbadala bora zaidi.”-Nasra Masi-Shabiki wa Yanga.

 

yanga

yanga

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.