ALLY SALIM TIA MAJI TIA MAJI SIMBA

Ally Salim kipa namba mbili wa Simba SC yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na mwendo wake kutokuwa imara.

ALLY SALIM TIA MAJI TIA MAJI SIMBA

Kwenye msimu wa 2024/25 ndani ya Ligi Kuu Bara, Ally amekaa langoni kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180 alifanikiwa kukamilisha dakika hizo na hati safi.

Kwenye mchezo mmoja wa CRDB Federation Cup ilikuwa ngumu kwake kutoka na hati safi alipotunguliwa mabao mawili na Emannuel Kwame wa Singida Black Stars.

Alipachika bao moja kwa pigo huru akiwa nje kidogo ya 18 na alipachika bao moja kwa mguu wa kulia akiwa nje ya 18 baada ya Ally kutoa pasi ambayo haikufika kwa mchezaji wa Simba SC.

Kipa huyo alifunga Mei 2025 kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa ukisoma Simba SC 1-3 Singida Black Stars.

ALLY SALIM TIA MAJI TIA MAJI SIMBA

Bao moja lilifungwa na Jonathan Sowah ambaye alimtungua kipa namba moja wa Simba SC, Moussa Camara ambaye alikwama kukamilisha dakika 90 baada yakupata maumivu kwenye mchezo huo.

Simba SC imefungashiwa virago kwenye CRDB Federation Cup ni Yanga SC vs Singida Black Stars hawa watacheza fainali.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.