Arteta Avunja Ukimya Kuhusu Hatma ya Lacazette Ndani ya Arsenal

Kocha mkuu wa klabu ya arsenal Mikel Arteta amevunja ukimya na kuthitisha kuwa hatma ya mshambuliaji wake Alexandre Lacazette kwenye kikosi chake itatuliwa baada mwishoni mwa msimu.

Mkataba wa Lacazette unakwenda kumalizika mwisho wa msimu huu na awali kulikuwa na taarifa ya kuwa mshambuliaji huyo alikaraa offer amabayo klabu hiyo ilimpatia, kwa sasa kuna taarifa kuwa Lacazette anafanyamazungumzo na klabu yake ya zamani ili aweze kurejea baada ya kuwa huru mwisho wa msimu huu.

Arteta

Mikel Arteta siku ya jumapili anawakaribisha Leicester kwenye dimba la Emirates na wakati akiwa anafanya kikao na waandishi alitoa neno kuhusu hatma ya Alexandre Lacazette, “tumezungumza kwamba mwisho wa msimu, tutakapojua tupo wapi na wapi tunakwenda, kufanya maamuzi pamoja.

“Tumekubaliana kufanya maamuzi mwisho wa msimu, na lini tutafanya hivyo.”

Arteta hakutaka kwenda moja kwa moja kuwa ni wapi wanakwenda, inaweza kuwa nafasi ambayo watashika kwenye msimamo wa ligi, ndio itaamua hatama ya Lacazette.


VUNA MKWANJA NA SHINDANO LA EVOPLAY SPRING AWEKING

Mchongo mpya mjini ni Shindano la Evoplay Spring Aweking katika kasino maridhawa za meridianbettz. Pata mgao wako wa TSh 25,000,000  katika michezo kibao ya kasino na sloti ziliyochaguliwa kushiriki.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.