Bakayoko Aachwa Kusalia Italia na Milan

Klabu ya Chelsea imeripotiwa kuwa wamekubali kumuacha Tiémoué Bakayoko kusalalia Italia akiwa AC Milan kwa mkopo huku kukiwa na sharti la kumnunua.

Kwa mujibu wa SportMediaset, Milan hawana shida na kukamilisha dili na Chelsea, kwa upande wao hakuna tatizo katika kufanya makubaliano na mshambuliaji huyu.

Awali taarifa zilizoripotiwa ni kuwa nyota huyu alikataa kurejea Uingereza kuichezea timu yake ya Chelsea. Taarifa zaidi zinadai kuwa Bakayoko aliamua kushinikiza kuhamia San Siro ambako alikuwa anahitaji kuwepo kwa sasa.

Inadaiwa kuwa klabu ya Chelsea imekubali kumuacha staa huyu asalie Milan kwa mkopo huku kukiwa na sharti la kumnunua kwa dirisha lijalo la msimu wa joto.

Msimu uliopita Bakayoko ameutumia akikipiga kule Monaco kwa mkopo.

Mkataba wake wa sasa kule Stamford Bridge unafika tamati mwaka 2022, lakini Milan wametoa ofa ya kumchukua mwaka 2021.

 


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

42 Komentara

    Bakayoko yupo vizuri sana ndio maana Chelsea bado wanaumuhimu nae

    Jibu

    Usajiri wa Bakayoko na wenzie ulisababisha kutoelewana kati ya aliyekuwa Kocha wa Chelsea Antonio Conte na bodi ya timu kwamba hawakuhitajika#meridianbettz

    Jibu

    Hongera Bakayoko kwa kuendelea kusalia milan

    Jibu

    Hongera bakayoko

    Jibu

    Bakayok bado mchezaj mzur asalie t huko Italy

    Jibu

    Usajiri wa Bakayoko na wenzie ulisababisha kutoelewana kati ya aliyekuwa Kocha wa Chelsea Antonio Conte na bodi ya timu kwamba hawakuhitajika

    Jibu

    Jambo zuri kubaki huko italy

    Jibu

    Wangemchukua tu#Meridianbettz

    Jibu

    Kila la kheri Bakayoko

    Jibu

    Bakayoko yupo vizuri ni vizuri zaid yy kusalia italy

    Jibu

    Bakanyoko ni mchezaji mzuri

    Jibu

    bakayoko yupo vizuri sana nina imani kazi nzuri ataifanya na kushangaza watu

    Jibu

    Bakayoko yupo vizuli

    Jibu

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    Bakayoko ni mchezaji mzuri#Meridianbettz

    Jibu

    Chelsea wamefanya jambo la muhimu sanq kumuacha bakayoko na Milan na kuwataka wamsajili kabisa pasiwepo na mkopo tena

    Jibu

    Bakayoko Bora ubakie Italia

    Jibu

    wangemchukua jamani

    Jibu

    Hata Kama angerudi asingekua na namba kwenye kikosi cha frank lampard.

    Jibu

    Jamaa yupo vizuri

    Jibu

    Bakayoko ni safi kwale sana

    Jibu

    Kwaher

    Jibu

    Baki tu uko ukuze kiwango chako.

    Jibu

    Bakayoko jembee

    Jibu

    Bakayoko namkubal sana

    Jibu

    jesh

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Abaki tuu

    Jibu

    Kila la kherii

    Jibu

    Ana mauwezo jamaa

    Jibu

    Ni bora tu abakie huko huko Italy

    Jibu

    Kwa mujibu wa SportMediaset, Milan hawana shida na kukamilisha dili na Chelsea, kwa upande wao hakuna tatizo katika kufanya makubaliano na mshambuliaji huyu.

    Jibu

    Ipo sawa tu

    Jibu

    Congrat bakayoko kubak milan

    Jibu

    Bonge la makala

    Jibu

    Bakayoko serie A ndio mahala pake.

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Tiémoué Bakayoko ni bonge la mchezaji yuko vzur sana

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.