Barkley Amalizana na Aston Villa

Makala iliyopita
YANGA YAMALIZANA NA KIPA SINGIDA BIG STARSMakala ijayo
Nacho Kutimkia Saudia
Ada ya uhamisho ya kiungo huyo wa kimataifa wa Uingereza inatajwa kua kiasi cha £5 milioni tu ambacho Aston Villa watapaswa kulipa kwa klabu ya Luton Town ambao watacheza Championship msimu ujao kwani walishindwa kubaki katika ligi kuu ya Uingereza msimu ujao.
Siku kadhaa mbele klabu ya Aston Villa itaweza kumtangaza Ross Barkley kama mchezaji wao mpya kuelekea msimu ujao kwani kila kitu wameshamalizana, Villa wamehakikisha wanafanya usajili wa kiungo mapema kwani kiungo wao wa kimataifa wa Brazil Douglas Luiz atatimka klabuni hapo kuelekea Juventus.