Benjamin Mendy Aachiwa kwa Dhamana

Mchezaji wa klabu ya Manchester City Benjamin Mendy amechiwa huru kurudi uraiani  kutoka mahabusu kwa dhamana alipowekwa baada ya kushitakiwa kwa kesi za ubakaji na unyanyasi wa kingono

Benjamin Mendy amekuwa akishutumiwa na kesi zinazofwatana ambazo zinahusu ubakaji na unyanyasi wa kingono kwa mabiti wadogo, ameachiwa huru leo kwa dhamana baada kusikilizwa kwa shauri lake kwenye mahakama ya Chester Crown Court leo Ijumaa.

Benjamin Mendy

Mchezaji huyo wa kimataifa wa timu ya Ufaransa aliwekwa kizuizini kwa siku 134 tangu akamatwe kwa mara ya kwanza na kushitakiwa mwezi august mwaka uliyopita, awali alikuwa anashikiliwa kwenye gereza la Liverpool kabla ya kuhamishiwa kwenye gereza la jijini Manchester na kupatiwa dhamana na jaji Patrick Thompson kwenye shauri binafsi.

Benjamin Mendy alijiunga na klabu ya Manchester City mwaka 2017 akitokea klabu ya nchini Ufaransa AS Monaco kwa ada ya £52 million lakini alisimamishwa na klabu hiyo baada ya kushitakiwa ili kupisha uchunguzi.


TENGENEZA FAIDA NA ZEUS ANCIENT FORTUNES

Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.