Benzema(35) Kuendelea Kuitumikia Real Madrid

Klabu ya Real Madrid sasa wanakaribia kufikia makubaliano na mshambuliaji wao Karim Benzema kuongeza mkataba kwa msimu mmoja zaidi hivi karibuni.

 

Benzema(35) Kuendelea Kuitumikia Real Madrid

Huku mkataba wake mpya wa mchezaji huyo na Real Madrid ukichukuliwa kama suala la wakati kwa pande zote mbili na kuwa wote wanataka kuusaini siku si nyingi na mchezaji huyo ambaye anapigiwa chapuo la kuchukua Ballon d’Or.

Mkataba wa mshambuliaji huyo wa Kifaransa utakuwa halali hadi mnamo Juni 2024 kwani mshambuliaji huyo ataongeza mkataba na Madrid kwa msimu mmoja zaidi.

Benzema(35) Kuendelea Kuitumikia Real Madrid

Rais wa klabu hiyo Fiorentina Perez, kocha wa klabu hiyo Carlo Ancelotti na bodi ya klabu hiyo wako kwenye ukurasa mmoja kwani Benzema ni mchezaji muhimu kwao mwaka ujao na gwiji wa klabu hiyo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.