Mshambuliaji wa Ufaransa, Karim Benzema amewatoa wasiwasi mashabiki na kusema yupo fiti asilimia mia moja kwaajili ya mashindano ya EURO 2020 yalioanza kutimua vumbi ijumaa.
Kocha Didier Deschamps alikanusha uwepo wa majeraha makubwa baada ya mechi, na Benzema sasa amebainisha kuwa tayari amerudi mazoezini kabla ya mchezo wa kwanza wa nchi yake kwenye mashindano ya EURO 2020 Jumanne.

“Najiskia vizuri sana. Nilianza tena mazoezi na timu jana,” mshambuliaji huyo wa Real Madrid aliiambia Telefoot. “Hakukuwa na maumivu. Sikufikiria juu ya ukweli kwamba ningelazimika kupoteza Euro.
“Ilikuwa maumivu makubwa lakini ilikuwa pigo tu. Haikuwa lazima kukaa chini kwa muda sikutaka kijilazimisha, kwa hivyo niliamua kutoka.
“Tuna madaktari wazuri sana wa matibabu kwa hivyo kila kitu kilifanywa haraka sana. Ikiwa nilianza mazoezi tena na timu jana, ni kwa sababu sina usumbufu, sina maumivu.
“Ninajisikia vizuri, nilifanya kazi kwenye mazoezi kwa hivyo niko fiti 100%.”
Chukua namba yako ya akaunti na kiasi cha pesa unachotaka kuweka, sogea kwenye duka lolote la Meridianbet lililo karibu nawe utasaidiwa kuweka pesa.



Issa
Jembe hilo
magdalena
Safii
Hope mwaikuka
Nc