Borussia Dortmund inaripotiwa kuwa itakuwa tayari kumruhusu Erling Braut Haaland kuondoka klabuni hapo wakati wa dirisha la uhamisho la msimu huu wa joto ikiwa watapokea ofa ya angalau pauni milioni 150.
Hatma ya Haaland kwa BVB inaendelea kutiliwa shaka, huku Manchester United, Manchester City, Real Madrid, Barcelona na Chelsea vikiwa ni kati ya vilabu vinavyotajwa kuvutiwa naye.
Kuna dau la € 75m (£ 65m) katika kandarasi ya mshambuliaji, lakini haiwezi kuamilishwa hadi msimu ujao wa joto, na hii inaweka Dortmund katika nafasi nzuri katika soko lijalo.

Kwa mujibu wa Sky Sports News, wababe hao wa Ujerumani hawatamuuza mchezaji huyo wa kimataifa wa Norway kwa chini ya pauni milioni 150 na watakataa kusemwa vibaya na wakala wa Haaland Mino Raiola.
Ripoti hiyo, inadai kwamba Dortmund itawekwa katika wakati mgumu ikiwa watashindwa kupata nafasi ya Ligi ya Mabingwa kwa kampeni ya 2021-22.
Mchezaji huyo wa miaka 20 amekuwa tena katika kiwango bora katika cha klabu msimu huu, akifunga mara 37 na kusajili asisti 11 katika mechi 38 za mashindano yote.
TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO
Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!



aisha
Duuh sio kwa msimamo huo
Adelta
Sawa tu maisha ni popote
neema hassan
Kambi popote
Elika
Maisha ni sehemu yoyote
Sarah
Maisha popote
Lydia Emmanuel Magoti
Duuh sio poa
Magdalena
Wakae nae wasituchoshe
Mariam mtandama
Safi sana
Sauda
Ana msimamo
David Pere
Kwa mujibu wa Sky Sports News, wababe hao wa Ujerumani hawatamuuza mchezaji huyo wa kimataifa wa Norway kwa chini ya pauni milioni 150 na watakataa kusemwa vibaya na wakala wa Haaland Mino Raiola.