Mayay: Dabi Hii Anapigwa Mtu

Mchambuzi wa soka nchini, Ally Mayay amesema ana uzoefu na dabi, amesimulia namna zamani walivyokuwa wanaandaliwa kuelekea mchezo huo na asili ya ushindani ulivyo baina ya klabu hizo.

simba

“Zamani kama wachezaji tulikuwa tunadai, viongozi walikuwa wanatulipa kabla ya mechi,tulihamasishwa hilo lilifanya hata kama timu ipo chini ya kiwango, ikiingia uwanjani inakuwa na ushindani mkubwa ambao hauwezi kutabiri nani anaweza akashinda mechi,”amesema Mayay na ameongeza kuwa;

“Kwa jicho la ufundi Simba ipo vizuri kila idara, inacheza kwa kombinesheni, uwezo wa mchezaji mmoja mmoja unaonekana, kocha anaijua timu yake kujua ni jinsi gani ya kubadili matokeo kwa muda wowote, Yanga naiona changamoto kwa Nabi bado hajazoeana na wachezaji wake na bado hana kikosi cha kwanza,”


TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO

Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!

SOMA ZAIDI

11 Komentara

    Lazma afungwe mtu hii hakuna draw

    Jibu

    Lazima kichapo kitembee

    Jibu

    Tunasubiri tuone itakuwaje ndani ya dakika90

    Jibu

    Mtanange wa kibabe

    Jibu

    Mpira wa kibabe huo

    Jibu

    Mtanange wa nguvu

    Jibu

    Mtanange watari huu

    Jibu

    Tulikuwa tunasubiri kwa hamu kubwa

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Lazima mtu achapike

    Jibu

    Ilitakiwa afe kweli mtu lakini Ndio hivyo tena

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.