Carragher :Salah na Kane Hawawezi Kusajiliwa Madrid.


 

Beki wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher amesema anaamini ofa za wachezaji Mohamed Salah na Harry Kane hazipo tena kutoka katika klabu za Bacelona na Real Madrid.

“Salah na Kane wameshaachwa na boti ya kujiunga na Real Madrid au Barcelona alisema Carragher.

 

Kumekuwa na uvumi katika wiki za hivi karibuni kuwa Salah hafurahii kuwepo Liverpool, wakati msimu mwingine wa kumaliza pasipo kombe unaweza kumfanya Kane azingatie hatma yake na Tottenham Hotspur.

Walakini, Carragher haoni mtu yeyote akitoa pesa nyingi kumsaini Salah au Kane.

“Kwa wachezaji hao wote wawili, nadhani unazungumza pauni milioni 120 pamoja, labda zaidi, na sidhani kama mtu yeyote atatumia pesa nyingi kwa wachezaji wa umri huo sasa.” aliongeza.


Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Sasa itakuwaje

    Jibu

    Why not

    Jibu

    Duuh itakuwaje

    Jibu

    Safiiii

    Jibu

    Kwanini sasa

    Jibu

    Mmmh kazi ipo

    Jibu

    Kwanini ishindikane kikubwa mpunga tu

    Jibu

    Salah nae ni Muoga kuhama timu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.