De Ligt Anaitaka United tu
Makala iliyopita
Imejulikana, Simba na Yanga, Azam FC Wapangwa na Hawa Kimataifa
Makala ijayo
Mokwena Aibukia Wydad Casablanca
Makubaliano baina ya mchezaji na klabu ya Man United yameshafikiwa siku kadhaa zilizopita kutokana na vyanzo mbalimbali nchini Ujerumani, Huku suala likibaki kwa vilabu baina ya Man United na Bayern Munich huku Bayern wakihita kiasi cha €50 milioni ili kumuachia beki huyo.