Del Piero na Maisha Baada ya Soka.


Staa na Legendi wa Soka, Alessandro Del Piero aliyewahi kukipiga katika klabu za Juventus, Odisha , Sydney Fc na Timu ya Taifa ya Italia, amezungumzia kuhusu maisha yake baada ya kustaafu katika soka.

Del Piero “Ukiwa kama msakata kabumbu unajikita kwa 100% katika kile unachopaswa kukifanya. Maisha yako yanajikita katika mazoezi, mapumziko na mechi.

 

Ukitundika daruga unabadili kila kitu. Unabadili mienendo, unaanza ku’miss mambo ya ‘locker room(vyumba vya kubadilishia nguo), wachezajii wenzako.

Kamwe sitaridhika kwa 100% (na kustaafu kwangu) kwa sababu ninapenda kucheza mpira wa miguu – lakini huo ndio uzuri wa maisha.

Katika ‘career’ yangu nilijitahidi kufanya mazuri -na makosa yakiwemo- lakini nilijitahidi. Sikuwahi kurudi japo hatua moja nyuma kukwepa majukumu ama kukwepa juhudi za makusudi za kufikia mafanikio yenye matokeo chanya.”


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

18 Komentara

    Abari njema sana

    Jibu

    Safi sana piero

    Jibu

    Tnx kwa update za kimichezo

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    👍🏾

    Jibu

    Duh noma

    Jibu

    Habali nzuli

    Jibu

    Mwamba wa italia amekua bora kwa kipind chake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Vizuri Sana piero

    Jibu

    Piero yuko vizuri

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.