Staa na Legendi wa Soka, Alessandro Del Piero aliyewahi kukipiga katika klabu za Juventus, Odisha , Sydney Fc na Timu ya Taifa ya Italia, amezungumzia kuhusu maisha yake baada ya kustaafu katika soka.
Del Piero “Ukiwa kama msakata kabumbu unajikita kwa 100% katika kile unachopaswa kukifanya. Maisha yako yanajikita katika mazoezi, mapumziko na mechi.

Ukitundika daruga unabadili kila kitu. Unabadili mienendo, unaanza ku’miss mambo ya ‘locker room(vyumba vya kubadilishia nguo), wachezajii wenzako.
Kamwe sitaridhika kwa 100% (na kustaafu kwangu) kwa sababu ninapenda kucheza mpira wa miguu – lakini huo ndio uzuri wa maisha.
Katika ‘career’ yangu nilijitahidi kufanya mazuri -na makosa yakiwemo- lakini nilijitahidi. Sikuwahi kurudi japo hatua moja nyuma kukwepa majukumu ama kukwepa juhudi za makusudi za kufikia mafanikio yenye matokeo chanya.”
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!



Khadija
Abari njema sana
warda
Safi sana piero
Dorophina
Tnx kwa update za kimichezo
Caroline
Asante kwa taarifa
Tatu
Safi sana
Hopemwaikuka
👍🏾
Magdalena
Duh noma
Rahma
Habali nzuli
Issa
Mwamba wa italia amekua bora kwa kipind chake
Angelina
Safi
samiah
Safi
Johnmary jo
Habari nzuri hiyo#meridianbett#
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana piero
Sabrina
Piero yuko vizuri
Fatina mfingi
Safii
Povel
Gud news
Janeflora malisa
Safi
Mariam mtandama
Safi