Mshambuliaji wa Manchester City, Gabriel Jesus amezungumzia maana ya ushangiliaji wake pale anapofanikiwa kufunga magoli.
Gabriel Jesus, “Ushangiliaji wangu huwa ni ujumbe kwa mpenzi wangu wa zamani tuliyeachana, alikuwa hapokei simu zangu wakati nikiwa Palmeiras kipindi hicho, lakini akaja kuanza kunitumia ujumbe wa Sms baada ya mimi kuhamia Manchester City.”
Lakini pia inadaiwa kuwa Gabriel Jesus hufanya ushangiliaji wa vile kwa ajili ya mama yake ambaye siku zote alikuwa mwenye hofu huku akimuwazia mwanae na alikuwa akitaka awe anampigia simu pindi anapokuwa ametoka kwenda kwenye mechi za mpira wa miguu.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!
Khadija
duh!!!hadi raha kibongo bongo hawajui kabisa unarikuta jitu linashangilia tuu ovyoo
warda
Hahaaaaa jesus kanifurahisha sana kwa sababu zake za ushangiliaji
Dorophina
Jesus yupo vizuri sana
Caroline
Dahhh kazi unayoo
Hopemwaikuka
ððð
Magdalena
Safi sana kijana akaze buti zaidi
Rahma
Jesus mwamba
Issa
Jesus anatisha
Mwanahamisi
Safi sana
Angelina
Inafurahisha sana
samiah
Gud
Johnmary jo
Ni mchezaji mzuri #meridianbett#
Lydia Emmanuel Magoti
Jesus anajua
Sabrina
Jesus yupo vizuri
Fatina mfingi
ðĪŠ
Tatu
Jesus yupo vizuri
Povel
Duh kumbe kila ushangiliaje unamaana yake kwny soka
Janeflora malisa
Safi
Mariam mtandama
Safi