Wayne Rooney anaendelea na maisha ya soka ndani ya klabu ya Derby County akiwa kama kocha mchezaji kwa sasa.
Baada ya Derby kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wao Philip Cocu, Wayne Rooney alikabidhiwa jukumu la kuongoza timu hiyo kwa muda, hii ikiwa ni kipindi cha mpito kwenye timu hiyo ambayo inategemea kubadilisha umiliki kwa siku za karibuni.
Kibarua cha kwanza kwa Rooney kilikuwa dhidi ya Coventry ambapo mchezo huu ulimalizika kwa matokeo ya sare ya 1-1. Akizungumza baada ya mchezo huo, Rooney amesema ” Kwakweli sijui kama nitaendelea kuwa kocha. Kama nilivyokwisha kusema, ninajiamini katika kazi hii na ningependa kuifanya kazi hii. Isipotokea, nitabaki kama mchezaji.

“Tayari tunamipango yetu na kama isipotokea (nimekuwa kocha wa Derby) basi wachezaji watakuwa wametulia wakijua mipango ya kuifanyia kazi kwa wiki chache zijazo, tutakuwa na kazi ya kufanya.
“Ninadhani muda mfupi baada ya umiliki mpya kukamilika, uamuzi utafanyika kwa sababu ninadhani unapaswa kufanyika mapema.
“Nimeelekezwa kuiongoza timu mpaka uamuzi utakapofanyika, hicho ndicho ninachokifanya. Punde uamuzi utakapokamilika sio kwa wachezaji tuu bali hata kwa wafanyakazi wengine, utakuwa ni wakati mzuri wa kujijenga na kuweka mipango vizuri kwa ajili ya baadaye.”
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!



Khadija
Uamuzi juu yake cjui itakuwaje
warda
Anaweza kuwa kocha mkuu
Dorophina
Abaki tu kwenye cheo hicho cha kuwa kocha akubali kubeba lawama
Caroline
Wamchukue tu Rooney
Hopemwaikuka
Akiendelea na kaz yake itakua poa
Magdalena
Rooney nae uwezo wake kimpira umeshashuk hana maajabu tena
Rahma
Mamuzi ni yake mwenyewe
Issa
Derby impe muda zaid rooney
Angelina
Itakuwa vizuri kama atakuwa kocha mkuu
samiah
Safi
Johnmary jo
Haya ngoja tusubili maamuzi hayo#meridianbett#
Lydia Emmanuel Magoti
Yeye ndio mwenye huwamuzi wake
lombo
vzr
Sabrina
Itapendeza
Fatina mfingi
Itakuwa powah sana
Tatu
Bora
Povel
Gud news
Janeflora malisa
Safi
Mariam mtandama
Safi