Diego Simeone Ataja Mambo Matatu ya Kufanya Atletico

Diego Simeone amedhamiria kubadilisha mambo katika klabu ya Atletico Madrid wakiwa wamejikuta wapo kwenye fomu mbaya msimu huu.

Atleti walitarajiwa kutetea vyema ubingwa wao wa La Liga wakiwa na kikosi cha timu chenye ubora wa hali ya juu.

Lakini wanaelekea katika mapumziko ya Krismasi chini ya pointi 17 nyuma ya vinara wa ligi Real Madrid kufuatia kupoteza mechi nne mfululizo.

Los Rojiblancos wamepoteza mbele ya Mallorca, Atletico Madrid, Real Madrid na Granada hivi karibuni.

Diego Simeone
Diego Simeone

Huku kukiwa na nafasi ndogo ya kushinda Ligi ya Mabingwa, msimu wa Atleti unaweza kumalizika kwa upande wa kuwania mataji msimu huu, huku Copa del Rey pekee ikionekana kuwa kwenye unafuu zaidi kwao kwa wakati huu.

Lakini wakati presha inazidi kupanda, bosi wa Atleti Simeone amewaambia wachezaji wake mambo matatu ambayo wanapaswa kufanya ili kubadilisha mambo wakati wakielekea kwenye mapumziko ya Krismasi.

Baada ya kushindwa kwa Granada, Diego Simeone alisema ni wakati wa wachezaji wake: “Kuburudisha akili, kustarehe na kufanya kazi.”

Ukirejea kwenye misingi ya Atletico Madrid, na Simeone anajua vyema utaalamu wa vijana wake.


KUWA BINGWA MSIMU HUU WA SIKUKUU NA OCEAN CALL

Nani hapendi kuwa bingwa na kujishindia mkwanja wa kusahato kuelekea katika sikukuu wiki hii. Mchezo wa Ocean Call kutoka kasino maridhawa za meridianbettz unakupa kila sababu ya kuifanya siku kuu yako kuwa ya kuvutia zaidi.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe