Mchezaji wa Arsenal na timu ya Taifa ya Misri, Mohamed Elneny amekutwa na maambukizi ya corona akiwa na timu yake ya taifa katika michuano ya kufuzu kucheza Afcon mwaka 2021.
Shirikisho la Soka Misri limethibitisha kuwa mchezaji wa Taifa hilo na klabu ya Arsenal Mohamed Ellneny amepimwa na kukutwa na Maambukizi ya Virusi vya Corona.
Mchezaji huyo hatakuwepo katika mchezo wa Leo dhidi ya Togo, Elneny anaungana na Mohamed salah wa Liverpool aliyekutwa na maambukizi hayo mapema wiki iliyopita.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.
magdalena
ugonjwa huu umesababisha wachezaji wengi wa vilabu mbalimbali kupoteza uwezo wao kimpira
Khadija
Hii corona inasababisha wachezaji wengi sana kuugua.Eee mungu wasaidie wachezaji waepukane na hili janga
Fatina mfingi
Daaah huu ugonjwa umekuwa tishio sana kwa kweli!!
Adelta
Coronavirus sio poa umesababisha hasara kubwa Sana kwa wachezaji
Ester jackson
Duuh hatari poleni sana mwenyezi mungu akawe muuguzi wenu wa kwanza mkapate kupona kwa haraka
Sauda
Pole yake
Elika
Mungu ni mwema soon atakaa sawa
Mwajumah
Pole yake
Aziza mushi
Pole yake.
Angelina
Corona bado ni tishio wazid kuchukua tahadhari
Samira
Hii corona upande wa wenzetu bado sana Mungu atusaidie
Sadick
Baada ya Mo Salah sasa Elneny ni hasara kwa Liverpool na Arsenal
Gabriel
Habar ya kusikitisha sana
Carolyn
Pole Sana Elneny
Hopemwaikuka
Hii sasa too much
Devotha
Pole yake apone haraka
zeiyana
Mpaka kuja kuvuzu kucheza Afcon hinaitajika kazi ya ziada sana kwa kila clabu kutoka na hili gonjwa la korona plas majeruhi hinaitajika akili ya ziada hitumike sana
Nasra
Pole sana
Fatuma kasomo
Dah pole sana
Antony Luseno
Hili ni swala ambalo linasikitisha sana
Povel
Gett well soon
aisha
Pole sana kijana
Theonestina
Pole yake
Sabrina
Pole sana dogo
felister
sad news
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yake sio poa Corona
Saupha mohamed
Dhuu pole sana
Janeflora malisa
Dah pol
Tahiya
Get well soon