Fabregas Ampongeza Barbara Gonzalez.

Staa wa zamani wa Arsenal na timu ya Taifa ya Hispania, Cesc Fabregas ametuma salamu za pongezi kwa CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez kwa kuwa mwanamke wa kwanza Afrika kuwa CEO wa klabu.

 

Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba SC, Babra Gonzalez ameposti video hiyo ikimuonyesha mshambuliaji huyo wa zamani wa vilabu vya Arsenal, Barcelona na Chelsea akimtumia pongezi.

Fabregas ambaye anakipiga katika klabu ya AS Monaco ya nchini Ufaransa amempongeza Barbara kuwa CEO wa kwanza mwanamke kwa upande wa vilabu Africa.

Mshambuliaji huyo pia amemtakia kila la kheri Babra Gonzalez kwenye utendaji wake wa kazi katika klabu ya Simba SC.

 


FUNGA BAHATI YAKO NA MERIDIANBET.

Ni wakati wa ushindi mkubwa ukiwa na kasino bomba ya Lock a Luck, meridianbet wanakupa sababu ya ushindi, funga bahati yako ya ushindi ukiwa na mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.