FIFA Yaifungia Kenya na Zimbabwe.

 

Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) imezifungia Zimbabwe na Kenya kushiriki na kujiusisha na maswala yeyote ya kimpira kwa muda usiofahamika hapo jana baada ya serikali kuingilia uendeshaji wa vyombo vyao vya soka vya kitaifa.

 

Zimbabwe ilipigwa marufuku baada ya Tume yake ya Michezo na Burudani inayoendeshwa na serikali kukataa kuachia udhibiti wa Chama cha Soka cha Zimbabwe na kurejesha uongozi wa shirikisho hilo.

Maafisa wa ZIFA waliondolewa ofisini mwezi Novemba kwa madai ya ufisadi.

Kenya ilipigwa marufuku baada ya wizara yake ya michezo pia kuwaondoa viongozi wa shirikisho la soka na kuwashutumu kwa ufisadi. Rais wa soka wa Kenya Nick Mwendwa anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu.

Rais wa FIFA Gianni Infantino alitangaza marufuku hiyo wakati Baraza la FIFA lilipokutana kwa muda mfupi kwa mkutano wa video siku ya Alhamisi

Hii maana timu za taifa za Zimbabwe na Kenya na vilabu haviwezi kucheza katika mashindano yoyote ya kimataifa. Pesa kutoka FIFA pia zimezuiwa.


SHINDA IPHONE 12 NA KASINO YA AVIATOR

Meridianbettz na Aviator wanakupa mchongo wa kuibuka na iPhone 12 katika kasino ya Aviator itakayodumu kwa siku 7. Kuwa rubani wa Aviator na ujishindie!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.