Fainali ya Ligi ya Mabingwa Kuhamishiwa Paris

UEFA imeichagua Paris kuwa mwenyeji wa fainali ya Ligi ya Mabingwa 2022 baada ya kuamua kuhamisha mechi hiyo kutoka St Petersburg kufuatia Urusi kuivamia Ukraine.

Fainali ya Ligi ya Mabingwa Kuhamishiwa Paris

Wanajeshi wa Urusi wameendelea na harakati zao nchini Ukraine siku ya Ijumaa, jambo ambalo limesababisha shutuma nyingi na vikwazo kutoka kwa viongozi wa dunia.

Uamuzi wa kuhamishia mchezo huo hadi Stade de France, ambao kwa mara ya mwisho ilikuwa mwenyeji wa fainali ya Ligi ya Mabingwa mwaka 2006 wakati Barcelona ilipoifunga Arsenal na kubeba Kombe la Ulaya kwa mara ya pili, ulithibitishwa wakati wa kikao kisicho cha kawaida cha Kamati ya Utendaji ya UEFA siku ya Ijumaa.

Baraza linaloongoza lilisema katika taarifa yake: “Kamati ya Utendaji ya UEFA leo imefanya mkutano usio wa kawaida kufika kwa hali ya usalama barani Ulaya.

“Kamati ya Utendaji ya UEFA iliamua kuhamisha fainali za UEFA Champions League 2021-22 kutoka Saint Petersburg hadi Stade de France huko Saint-Denis. Mchezo huo utachezwa kama ulivyopangwa awali Jumamosi, 28 Mei.


SHINDA IPHONE 12 NA KASINO YA AVIATOR

Meridianbettz na Aviator wanakupa mchongo wa kuibuka na iPhone 12 katika kasino ya Aviator itakayodumu kwa siku 7. Kuwa rubani wa Aviator na ujishindie!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.