Bale Ndani ya China!

Habari zinadai kuwa Real Madrid ya Hispania imekubali ombi la dau la paundi milioni 113 la mchezaji wao winga, Gareth Bale!

Mchezaji huyu ana umri wa miaka 28 kwa sasa na dau hilo linatoka kwa klabu ya ligi ya China! Yeye binafsi anataka kuondoka kwenye klabu hiyo ya La Liga na kujiunga na moja ya klabu kubwa huko Ulaya!

Bale Ndani ya China!

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.