Bayern Warejea Mazoezini Kujiandaa na Msimu Mpya.


Zikiwa zimepita siku 16 tu mara baada ya ushindi wa kombe la Ligi ya Mabingwa barani Ulaya huko Lisbon na likizo fupi, nyota wa klabu ya soka ya Bayern Munich wamerudi kwenye majukumu yao ya soka.

Vipimo vya virusi vya Corona na mafunzo ya kimtandao, yalifanyika katika kikosi cha Hansi Flick siku ya Jumanne.

Ijumaa wiki hii, Manuel Neuer na wenzake watafanya mazoezi ya pamoja tena katika viunga vya mitaa ya Saebener baada ya vipimo vya afya vya radiolojia.

 

Bayern Warejea Mazoezini Kujiandaa na Msimu Mpya.

“Kuanza msimu mpya mishale ya saa zote zimewekwa katika sifuri,” alisema mwenyekiti wa klabu hiyo Karl-Heinz Rummenigge, akimaanisha ni kama wana aanza mwanzo.

Kocha Flick ana siku kadhaa tu kuwaanda wachezaji wake tayari kwa mechi yake ya kwanza ya ushindani ya msimu ya Bundesliga dhidi ya Schalke ,mnamo Septemba 18.

“Kuna msemo huu mzuri: Mafanikio hayamilikiwi kamwe, yanakodishwa tu na kodi ni ya kila siku,” Flick alisema.

 

Bayern Warejea Mazoezini Kujiandaa na Msimu Mpya.

“Sote tunajua kwamba Bundesliga itakuwa na upinzani zaidi. Borussia Dortmund ilipata nguvu, Leipzig pia ni wapinzani wenye nguvu, Bayer Leverkusen na Borussia Moenchengladbach.”

Niklas Suele na mchezaji mgeni wa Bayern Leroy Sane wanarudi kutoka katika majukumu yao katika timu ya taifa Ujerumani.

Suele anataka kurejesha nafasi yake ya kuanza kwenye safu ya ulinzi katika kikosi cha Bayern baada ya kipindi kigumu alichokabiliana nacho kutokana na kuwa majeruhi.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza Sasa.

52 Komentara

    Safii

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Habari njema tunataka tuone Bayern msimu ujao mfanye vitu vizuri mashabiki waridhike

    Jibu

    Bayern tunataka mabadiliko

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Bayern haijasajiri sana msimu huu na wachezaji watatu muhimu waliokuwa pale kwa mkopo wameshaondoka#meridianbettz

    Jibu

    Naona bayern mnajipangaaa

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Good 👍#meridianbettz

    Jibu

    Maoni:safii sana

    Jibu

    Jambo jema hilo

    Jibu

    bayern naona wanajipanga vyema kwa ajili ya msimu ujao

    Jibu

    Jambo zur

    Jibu

    Inapendeza

    Jibu

    Bayern safari hii kazi ipo naona watafanya vizuri zaidi

    Jibu

    Kwa mzimu huu wana nafasi tena ya kufanya vyema

    Jibu

    Good

    Jibu

    Bayern safi sana kuwahi na msimu huu nafikir wanaweza kutwaa tena ubingwa

    Jibu

    Bora wajipange upya wazidi kutupa burudani

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Bonge la makala

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Tunatarajia kuona msimu ujao mfanye vitu vizuri mashabiki waridhike maana Bayern Munich wako vzur sana 👍

    Jibu

    Bayern moto season hii

    Jibu

    Mwanzo uwe mzuri jiandaeni

    Jibu

    Tunatarajia kuona kikosi kipya

    Jibu

    Hope mmejipanga vyema sasa

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Wako vizuri sana Bayern Ila msimuhuu kutakuwa na mabadiliko

    Jibu

    Goo champion

    Jibu

    Ni vizuri sana kujiandaa mapema

    Jibu

    Watakua vizuri bayern

    Jibu

    Itasawasaidia

    Jibu

    Bayern watakuwa vzr

    Jibu

    Safiiiii

    Jibu

    Hiiiiiii ni Dalili ya pazia la bundasliga kuanza

    Jibu

    Mambo yameivaaaa

    Jibu

    Tunasubiri kwa hamu sana

    Jibu

    naona Bayern wanajipanga

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Mambo matamu,tunatarajia msimu ujao Bayern wafanye Mambo mazur

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Mambo yanazidi kunoga Barani Ulaya.

    Jibu

    Bayern naona wanajipanga kwa msimu unaokuja

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Tunatarajia kuona msimu ujao mfanye vitu vizuri mashabiki waridhike maana Bayern Munich wako vzur sana

    Jibu

    Wapo na kasi mpya ushindi sio jambo la mchezo

    Jibu

    Hawajawai kutuangusha mashabiki wao

    Jibu

Acha ujumbe