Makala nyingine

Jumamosi ya Mei 16 ilikuwa ni siku ya furaha kwa jamii ya wapenda soka duniani kote kutokana na kushuhudia michezo ya ligi kuu ya Ujerumani, Bundesliga ikirejea tena baada ya …

Ikiwa ni miezi miwili imepita sasa tangu Bundesliga ihairishwe, sasa moja ya ligi kubwa Ujerumani imerejea tena. Wikiendi hii kutakuwa na mechi hizo ambapo ni Mechiwiki ya 26 ya michuano …

Ligi kuu ya Ujerumani, Bundesliga ndiyo ligi kubwa ya kwanza barani Ulaya kurejea hewani baada ya kuibuka kwa ugonjwa wa Covid-19 ambapo tukashuhudia kusimama kwa mechi nyingi sana duniani. Sisi …

Tetesi za Usajili

Manchester City wapo tayari kumpa mkataba mpya straika wa Brazili, Gabriel Jesus wenye thamani ya £120,000-kwa wiki ili kumvutia asalie klabuni baada ya Juventus kuonyesha nia ya kumhitaji huduma yake. …

Wikiendi hii akili ya kila mpenda soka imehamia kule kwenye mikeka ya Bundesliga! Kuna gemu nzuri sana wikiendi hii ingawa mashabiki hawatokuwepo viwanjani lakini burudani itabakia pale pale! Kama kawaida …

Kocha Mkuu wa Augsburg Heiko Herrlich atakosekana kwenye mechi ya leo dhidi ya Wolfsburg baada ya kuvunja sheria za karantini kwa kutoka hotelini kwenda kununua dawa ya meno. Herrlich, ambae …

Hayawi hayawi hatimaye yamekua. Ile May 16 iliyotangazwa kuwa ligi kuu ya Ujerumani ‘Bundesliga’ ni leo. Weekend zinazoboa za bila mechi kwenye runinga hazipo tena. Ligi kuu ya Ujerumani inakuwa …

1 2 3 27 28 29 30 31 32 33 34 35
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.