Timo Werner ametangaza kuwa anapendelea kuhamia kwenye ligi nyingine baada ya kuthibitisha kuwa hana nia ya kujiunga na Bayern Munich. Ripoti nchini Ujerumani wiki hii zilidai nyota huyo wa RB …
Makala nyingine
Ligi Kuu ya Ujerumani, Bundesliga haitarejea mnamo tarehe 9 Mei kama ilivyotajwa wiki kadhaa zilizopita. Hii ni mara baada ya serikali ya Ujerumani kusita katika kutia maamuzi ya kurejea kwa …
Jadon Sancho, 20, ametajwa kuwa anataka kurejea Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kuondoka huko mwaka 2017. Alitokea Manchester City kwenda kukipiga Bundesliga akiwa na Borrusia Dortmund hadi leo. Kwa …
Mshambuliaj Wolves, Raul Jimenez, 28, amesema itakuwa ngumu kukataa ofa kutoka kwenye vilabu vya Hispania Real Madrid and Barcelona. Golikipa wa Manchester United, Dean Henderson, 23, ambaye ametumikia kwa mkopo msimu 2019.20 …
Watu watatu katika klabu ya FC Koln wamekutwa na maambukizi ya Corona, klabu hiyo imethibitisha japo wamesema mazoezi yataendelea kama ilivyopangwa. Koln ipo imebakiwa na mechi tisa na wapo nafasi …
Kipaji mujaarabu cha Jack Wilshere kiliwashitua wengi ,kiliwaacha midomo wazi kina Xavi Hernandez na Andres Iniesta pale Emirates katika mechi ya UEFA Champions League . Kuanzia wakina Scott Parker , …
kazitazame tena pasi za mjerumani. Mesut Ozil. Nasema hivi, leo achana na wote, kaitazame tena miguu ya Mturuki. Mesut Ozil. Mtoto fulani kutoka Ujerumani Magharibi. Mwezi mmoja tu baada ya …
Mwenyekiti wa kamati ya matibabu wa UEFA anasema michuano inaweza kuanza tena licha ya mwenzake wa FIFA kusema haipaswi kuanza kabla ya Septemba. Mwenyekiti wa kitengo cha Matibabu cha Shirikisho …
Lionel Messi anatamani Barcelona imuuze Ousmane Dembele kuliko Philippe Coutinho. Mbrazili huyo kwasasa anahusishwa sana kuondoka Barcelona kipindi hiki cha kiangazi huku Chelsea, Manchester United, Tottenham, Arsenal na Paris Saint-Germain …
“Sijawahi kufundishwa na kocha mzuri kama Mou, wengine walikuwa wazuri ila huyu ni zaidi ya wote. Na kama ilivo kwa makocha wote, namuheshimu sana Mou” yalikuwa maneno yaliyojaa heshima ya …
UEFA wametoa kiasi cha paundi milioni 236.5 kwa ajili ya mashirikisho ya soka 55 ambayo ni washirika wake ili waweze kupata ahueni katika kipindi hiki kigumu. Fedha hizi zimepatikana kutoka …
Katika ile Borrusia Dortmund iliyochukua Bundersliga back to back kulikua na watu sana , Klopp alikusanya vijana wengi wazuri na wenye vipaji vya kutisha na moja yao alikuwemo Mario Gotze …
VAR ni kifupi cha neno la kingereza lenye maana ya Usaidizi wa Muamuzi kwa Njia ya Televisheni, Hii imekua kawaida sana kwa kipindi cha karibuni kwa waamuzi wa michezo ya …
Inadaiwa kuwa ligi kuu ya Ujerumani, Bundesliga inaweza kuwa ya kwanza kurejea uwanjani, hayo yamesemwa na waziri wa Ujerumani kwamba kuna mazungumzo yanayoendelea kwa sasa ili ligi irudi mapema mwezi …
Vilabu 36 vya ligi mbili za juu nchini Ujerumani ikiwemo Bundesliga vimesaini makubaliano ya kuendelea na ligi kuanzia Mei 9 mwaka huu kwa masharti maalum ya tahadhari dhid ya virusi …
Nini maana ya Simulated Reality League na namna gani unaweza kuibetia? The Simulated Reality Soccer League inatumia uwezo wa kufanya kazi wa mashine za kompyuta kuangaza ubora wa timu na …
Chelsea watafungua mazungumzo na Freiburg juu ya mpango wa kumsajili mshambuliaji wao, Luca Waldschmidt, kulingana na ripoti huko Ujerumani. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 23 amefunga mabao sita katika …
Alphonso Davies amecheza kwa kiwango cha juu akiwa na Bayern Munich, hiyo imetosha kabisa kusaini mkataba mpya na miamba hao hadi 2025, Klabu hiyo ya Bundesliga imetangaza leo Jumatatu. Davies, …
Sauti za wapenda soka zinaulizana mbona huyu Mesuit Mostafa Ozil fundi sana, mbona Marco Reus mtu sana, vipi kuhusu Mario Gotze ‘Computer’? yule Sammy Khedira je? Watu wanamtaja na Manuel …
Nyota wa Bayern Munich Kingsley Coman kukabiliwa na faini ya kuendesha gari ya McLaren badala ya Audi. Mabingwa wa soka la Ujerumani, Bayern Munich wanadhaminiwa na kampuni ya kutengeneza magari …

