Kocha mkuu wa Klabu ya Augsburg, Heiko Herrlich atakosa mechi za kwanza za Bundesliga baada ya kukiuka sheria za karantimi kwa kutoka hoteli ya timu yake na kwenda kununua dawa …
Makala nyingine
Mkurugenzi mkuu wa Borussia Dortmund Carsten Cramer amesema kwamba mchezaji atakayepatikana na virusi vya Corona katika Ligi ya Bundesliga hatakuwa sababu ya Kushindwa kurejea kwa Ligi hiyo. Bundesliga imepangwa kurejea …
Umaridadi wa miguu ya Xavi na inesta katika kupiga pasi uliwafanya kuwa ubongo ndani ya timu, timu ilifikiria kupitia wao, huku Lionel Messi akiwa nafsi ya timu katika kuamua mwisho …
Atletico Madrid wanatarajia kumsajili Alex Oxlade-Chamberlain kutoka Liverpool na wamejiandaa kumtoa kiungo wao, Thomas Partey ili kufanya dili la kubadilishana. Mghana huyo alikuwa sehemu ya Kikosi cha Atletico ambacho kilishinda …
Arsenal, Tottenham na Borussia Dortmund zaingia vitani kuwinda saini ya kiungo wa kati wa Flamengo Gerson, baba wa nyota huyo wa Brazil amethibitisha.Gerson alifanikiwa kuonesha kwangi kikubwan sana kwenye fainali …
Mlinda lango wa klabu ya Liverpool, Loris Karius amevunja mkataba wake wa mkopo na Klabu ya Besiktas ya Uturuki, na mlinda lango huyo akitoa sababu kuwa ni kutolipwa mshahara tangu …
Tottenham na Manchester United wanachuana za kuwania saini ya beki wa kulia wa Paris St-Germain na Ubeligiji, Thomas Meunier, 28. Manchester United wanafikiria mbadala wa David de Gea, japo golikipa huyo …
Sasa ni rasmi ligi kuu ya Ujerumani itarejea mwezi hu. Sio tetesi tena, kansela wa Ujerumani Angela Merkel amethibitisha kuwa ligi hiyo itaendelea mwezi huu na kuliachia shirikisho la soka …
Timu zitaruhusiwa kufanya mabadiliko matano ya wachezaji kwa mechi baada ya International Football Association Board (IFAB) kufanya mabadiliko ya muda kwenye sheria za mpira ili kuendana hali ya kurejea kwa …
Miaka 12 iliyopita, usiku mmoja wa baridi kali pale Paris Ufaransa, pale Seip Blatter aliposhika mic na kuitangazia dunia kuwa Ricardo Kaka ndiye mchezaji bora wa dunia wa mwaka 2007. …
Mfungaji anayeongoza kwa wakati wote wa Ujerumani, Miroslav Klose ameteuliwa kuwa Kocha msaidizi wa Mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich kwa msimu ujao. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 41 amekuwa …
Newcastle wapo tayari kutumia £70m kumnasa kiungo wa Barcelona Philippe Coutinho kama klabu itakubali kumruhusu nyota huyo auzwe, Mbrazili huyo kwasasa yupo kwa Mkopo Bayern Munich. Matajiri wa Newcastle pia …
Ume “miss” mikiki mikiki halisi ya dimbani! Basi sawa, tunaanza na Bundesliga ambayo inarejea kurindima dimbani! Inakuwa ligi ya kwanza kwa ligi za Ulaya zilizokuwa zimesimamishwa kurejea! Ligi hii ya …
Salomon Kalou amesimamishwa kushiriki michezo ndani ya klabu ya soka ya Hertha Berlin! Adhabu hii imekuja ikiwa ni mara baaada ya mchezaji huyo kurusha video ikimuoneha yeye na wenzake wa …
Viongozi wakuu wa Shirikisho la Soka Uturuki wanajiamini kuwa na uwezo wa kuwa wenyeji wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mwezi Agosti. Nihat Ozdemir amesema nchi yao Ligi itaendelea …
Msimu wa Bundesliga upo huru kuanza katikati ya Mei, baada ya serikali kuwasha taa ya kijani kuruhusu mechi ziendelee. Mpira wa miguu nchini Ujerumani ulisimamishwa katikati ya Machi, kwasababu ya …
Unahitaji kuwa na shilling 450 za kitanzania, kutoka katikati ya Jiji la Buenos Aires mpaka San Fernando de la Buena Vista , mitaa hii imemlea RiqueBaller Juan Jioni moja katikati …
Katika historia ya Soka kuna vitu vingi sana vinatokea na vinaendelea kutokea, lakini kubwa ni kwamba kila siku kuna maajabu na rekodi zinaendelea kuwekwa na kwa hakika nyingine ni za …
1. BARCELONA ILIISHIA KWA PEP GUARDIOLA Alinufaika na portifolio la Johann Cruyff, akaja kumalizia alichoacha Frank Rijkaard, mfumo wa 4-3-3, La Masia iliyo bora sana, Pep kuanzia 2008 hakuwa hata …
Hiannick Kamba 🇨🇩 apatikana tena Baada ya Kutangazwa Kufariki Katika Ajali ya Gari Mnamo mwaka 2016. Mchezaji wa zamani wa klabu ya Schalke 04, Hiannick Kamba amepatikana akiwa hai nchini …

