Mkurugenzi mkuu wa Borussia Dortmund Carsten Cramer amesema kwamba mchezaji atakayepatikana na virusi vya Corona katika Ligi ya Bundesliga hatakuwa sababu ya Kushindwa kurejea kwa Ligi hiyo.
Bundesliga imepangwa kurejea mwisho mwa juma hili bila ya mashabiki. kama ingetokea ligi hiyo ingekatishwa basi Buyern Munich ndio ingepewa ubingwa ila kutokana na mipango na mikakati iliyo wekwa imeonesha uwezekano wa ligi hiyo kumalizika na kama ingetokea ingekatishwa basi ingesababisha kuvurugika kwa ratiba kwa msimu wa mwaka 2020-2021
Timu zote zimekuwa karantini kwa muda wa zaidi ya majuma mawili na ni ishara kuwa wachezaji wote wapo salama kwa asilimia kubwa kwakua kila mchezaji amepitia vipimo na kambi zipo chini ya uangalizi,
Wikendi hii kutakuwa na michezo kadha wa kadha miongoni mwao ikiwa ni Derby kali sana siku ya Jumamosi Borussia Dortmund dhidi ya Schalke 04. na ukiwa na Meridianbet APP au kutembelea tovuti ya www.meridianbet.co.tz utaweza kubashiri mechi hizi kwa kuchagua option zako pendwa na Meridianbet watakupa Odds za kutosha.
Povel
Ni habar njema kwa wapenzi wa kandanda na wazeee wa kubashir(kubeti) thnks meridian kwa habar za michezo na burudani
Gabriel
Good news 👍 @ # meridianBetTZ
Adelta
Asante kwa taarifa meridian
Tatu
Habari nzuri sana
Frank Patrick
Hiyo ndio Ujerumani na bundesliga yao
Hamidu
Hbr nzuri..tulimiss burudani ya soka # meridianbettz
Ester mmakasa
Tembelea sasa tovuti ya http://www.meridianbet.co.tz ubashiri wako ukamilike.
Furahav
Habari nzur.
Lombo
Habari mzur
Rehema Dickson
Kwa habar za mpira nawapongeza
isha
nimeipenda iyoooooo
Njiku
Gud news
farida ahmadi
Habari njema Sana