Kocha Edin Terzic ambaye alikua kocha wa klabu ya Borussia Dortmund ametangaza kuachana na klabu hiyo baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa takribani miaka miwili na mafanikio klabuni hapo. Kocha …
Makala nyingine
Kiungo wa kimataifa wa Ujerumani anayekipiga ndani ya klabu ya Bayern Munich Jamal Musiala ameulizwa juu ya mkataba mpya ndani ya klabu hiyo, Lakini yeye amesema malengo yake ni kuona …
Klabu ya Bayern Munich inaelezwa kuongeza dau kwa klabu ya Fulham ili kumpata kiungo wa kimataifa wa Ureno Joao Palhinha ambaye wamekua wakimfukuzia kutoka dirisha kubwa la usajili lililopita. Bayern …
Mshambuliaji wa klabu ya Rb Leipzig raia wa kimataifa wa Slovenia Benjamin Sesko inaelezwa amekubali dili la mkataba mpya ndani ya klabu hiyo na atasaini mkataba wa miaka mitano ambao …
Klabu ya Bayern Munich kutoka nchini Ujerumani inaelezwa wamemalizana na kiungo wa kimataifa wa Ureno Joao Palhinha anayekipiga kwenye klabu ya Fulham na wako mbioni kumsajili kiungo huyo. Kiungo Joao …
Klabu ya Bayern Munich ipo kwenye mkakati wa kumsajili kiungo wa kimataifa wa Uholanzi Xavi Simons ambaye ni mchezaji wa PSG anayekipiga kwa mkopo klabu ya Rb Leipzig. Bayern Munich …
Beki na kiungo wa klabu ya Bayern Munich Joshua Kimmich amefunguka juu ya hatma yake ndani ya klabu hiyo huku akieleza hatma yake ipo mikononi mwa wababe hao wa soka …
Klabu ya Borussia Dortmund kupitia kwa mkurugenzi wa klabu hiyo Sebastian Kehl ameeleza mpango wao ni kutaka kumbakiza winga Jadon Sancho anayekipiga klabuni hapo kwa mkopo akitokea Man United Jadon …
Beki wa klabu ya Bayern Leverkusen raia wa kimataifa wa Burkinafaso Edmond Tapsoba ameendelea kua kivutio cha vilabu mbalimbali vikubwa barani ulaya. Beki huyo wa kimataifa wa Burkinafaso inaelezwa maskauti …
Miamba ya soka kutoka nchini Ujerumani klabu ya Bayern Munich inafukuzia saini ya beki wa kushoto wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Ufaransa Ferlan Mendy. Bayern Munich …
CEO wa klabu ya Bayern Leverkusen Carro ameweka wazi kua anamuona kocha wa klabu hiyo Xabi Alonso akija kuifundisha klabu ya Real Madrid siku za mbeleni ila hajajua ni lini. …
Klabu ya Bayern Leverkusen imefanikia kutwaa taji la Bundesliga baada ya kufanikiwa kupata ushindi mnono wa mabao matano kwa bila mbele ya klabu ya Weder Bremen. Bayern Leverkusen wanatwaa ubingwa …
Klabu ya Bayern Munich imekubali tena kupokea kichapo kingine ndani ya ligi kuu ya Ujerumani leo dhidi ya timu ya Heidenheim iliyopanda daraja msimu huu kwa mabao matatu kwa mawili. …
Kocha wa klabu ya Fc Bayern Munich Thomas Tuchel amesema wachezaji wake watano kwenye kikosi hicho kuelekea mchezo wa kesho wa ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga. Wachezaji kama …
Klabu ya Real Madrid unaweza ukasema kazi imebaki kwao tu kwa beki raia wa kimataifa wa Canada anayekipiga kwa mabingwa wa Ujerumani klabu ya Bayern Munich Alphonso Davies. Unaweza kusema …
Beki wa kimataifa wa Uholanzi Matthijs De Ligt ameweka wazi hana mpango wa kuondoka ndani ya viunga vya Allianz Arena na badala yake ataendelea kuitumikia klabu hiyo. De Ligt amekanusha …
Beki wa kulia wa klabu ya Manchester City Kylie Walker amemmwagia misifa beki wa kulia wa klabu ya Bayern Leverkusen vinara wa ligi kuu nchini Ujerumani Jeremie Frimpong. Kylie Walker …
Uongozi wa klabu ya Bayern Munich chini ya mkurugenzi wao Eberl amesema hawako tayari kumuachia bure beki wa kushoto klabuni hapo raia wa kimataifa wa Canada Alphonso Davies. Mkurugenzi wa …
Klabu ya Liverpool na Bayern Munich zimeingia kwenye vita kali ya kumuwania kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen Xabi Alonso ambaye anafanya vizuri kwasasa barani ulaya. Vilabu vya Liverpool na …
Gwiji wa zamani wa vilabu vya Real Madrid, Liverpool, na Bayern Munich Xabi Alonso ambaye kwasasa ni kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen ameendelea kuishangaza ulaya. Xabi Alonso anaendelea kufanya …

