Bayern Munich Wapanda Dau kwa Palhinha
Makala iliyopita
Ten Hag Kuongezewa Mkataba Mpya
Makala ijayo
Dauda Amchana MO Dewji, Hatakiwa Kuongeza
Miamba hiyo ya soka ya Ujerumani kwao kinachotakiwa ni kutoa dau ambalo litawaridhisha klabu ya Fulham kwnai mchezaji Joao Palhinha anaonekana kua tayari muda wowote na dili hilo, Kwani mpaka sasa inaelezwa klabu hiyo imeshamalizana na kiungo huyo kwenye suala la maslahi binafsi.
Msimu ulimalizika ikumbukwe kiungo Joao Palhinha dili lake la kujiunga na klabu ya Bayern Munich liliharibika siku ya mwisho ya usajili, Huku katika hali isiyo ya kawaida alionesha uungwana klabuni hapo na kuamua kusaini mkataba mpaya ndani ya Fulham lakini dirisha hili inaelezwa hataki dili hili licheleweshwe kwakua kiu yake kwa kiwango kikubwa ni kujiunga na miamba hiyo ya soka kutoka nchini Ujerumani.