Bayern Munich na Palhinha Kila kitu Sawa
Makala iliyopita
Spalletti Afurahia Maendeleo ya Barella Baada ya Kupata Majeraha
Makala ijayo
Tuchel Aipiga Chini Man United
Ikumbukwe dirisha kubwa lililopita mabingwa hao wa zamani wa Ujerumani walikaribia kumsajili mchezaji Joao Palhinha lakini dili liliharibika dakika za mwisho kabisa, Jmabo ambalo lilimfanya kiungo huyo kutopendezwa na hali hiyo kabisa na kuilaumu klabu yake ya Fulham.
Kama ni Ng’ombe Bayern wamebakiza mkia tu kwani wanatakiwa kulipa kiasi cha pesa tu ambacho kitamruhusu kiungo huyo kuondoka ndani ya Fulham na kuweza kujiunga nao, Klabu hiyo imeonesha kumuhitaji kwa kiwnago kikubwa kiungo huyo kwani licha ya kumkosa dirisha kubwa lililopita lakini wamerudi tena kuhitaji saini yake.