Tuchel Aipiga Chini Man United
Makala iliyopita
Bayern Munich na Palhinha Kila kitu Sawa
Makala ijayo
Sancho Kupigwa Bei United
Baada ya kushindwana na Man United kocha huyo wa zamani wa Chelsea, PSG, na Borussia Dortmund ameamua atachukua likizo na hatafundisha timu yeyote kwa msimu ujao wote, Vyanzo vya ndani kutoka klabu ya Man United vimeeleza kocha huyo alihitaji kiwango kikubwa cha pesa ndio sababu ya kushindwana na mabosi wa klabu hiyo.
Kocha Robert De Zerbi ni miongoni mwa makocha ambao wako kwenye oridha ya juu kabisa wanaotakiwa na klabu ya Man United, Baada ya Tuchel kuipiga chini Man United mabosi wa klabu hiyo wanaelezwa watahamia kwenye chaguo lingine ambapo ndipo De Zerbi atafata kwani ni moja ya makocha walioko kwenye orodha za juu za mabosi wa klabu hiyo.