Tetesi za Usajili

Tottenham na Manchester United wanachuana za kuwania saini ya beki wa kulia wa  Paris St-Germain na Ubeligiji, Thomas Meunier, 28.

Manchester United wanafikiria mbadala wa David de Gea, japo golikipa huyo wa Hispania amesaini mkataba mpya wa miaka minne Septemba.

Manchester United wanajiandaa kutuma ofa kwa mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, lakini Barcelona na PSG pia wanawania saini yake

The Red Devils, Chelsea na Tottenham wanavutiwa na kiungo wa Lazio na Serbia, Sergej Milinkovic-Savic, 25.

Sergej Milinkovic-Savic

Real Madrid imewaambiwa wanfanye maamuzi hadi kufikia Juni 15 kama watamuuza straika wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang, 30, ambae amebakisha mwaka mmoja kwenye mkataba wake.

Atletico Madrid wanajiandaa kumuuza beki wa Uingereza Kieran Trippier kwa £20m na klabu yake ya zamani Burnley ni moja ya vilabu vinavyohitaji huduma yake.

Liverpool wanajiandaa kumchukua kinda mshambuliaji wa Brazili, Talles Magno, ambae anachezea Rio de Janeiro katika klabu ya Vasco de Gama.

Talles Magno

Liverpool inaweza kumnasa beki wa kushoto wa Arsenal Bukayo Saka, kinda huyo mwenye miaka 18 mazungumzo yake na Arsenal yamesimama.

Manchester United wanatumaini ya kumnyakuwa beki wa Swansea Joe Rodon kwa £20m baada ya mchezaji wa zamani na Kocha wa Wales kupendekeza.

Kiungo wa Juventus Adrien Rabiot, 25, yupo tayari kujiunga na Everton au Manchester United baada ya Mfaransa kushindwa kuonyesa makali akiwa Turin.

Tottenham wanaweza kusaini winga wa Bournemouth Ryan Fraser, 26, bure kipindi hiki cha kiangazi.

Ryan Fraser

Kocha wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger amesema Liverpool watatambuliwa kama mabingwa wa Premier League kama msimu utasitishwa.

23 Komentara

    usajili bado unaendelea timu zijiimarishe zimalize ligi vzr

    Jibu

    Thank you meridianbet for keeping us updated.

    Jibu

    Thank you meridianbet for the updates.

    Jibu

    Washindane atakaw kuwa na mpinga mwingi atamsajili

    Jibu

    hongera sana meridian bet

    Jibu

    Mko vzr kwa taarifa

    Jibu

    Asante meridianbet kwa update

    Jibu

    Thanks kwa habar za kimichezo

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Nashukuru kwa kutupatia habari Moto moto

    Jibu

    Nashukuru meridianbet kwa taarifa..

    Jibu

    Habari njema hiii

    Jibu

    Asante kwa taarifa # meridianbet

    Jibu

    Kwann msituwekee hizi tetesi kila siku meridiansport.co.tz🙏

    Jibu

    🙏🙏🙏

    Jibu

    Man u chukua jembe hilo.

    Jibu

    huyu fundi zisiishie kwenye tetesi tu

    Jibu

    Welcome to Man Utd

    Jibu

    Safi meridianbet kwa taarifa nzuri

    Jibu

    coach wa Arsenal yupo sahihi Ata hap bongo Ligi ikisimama simba ni bigwa

    Jibu

    Asante kwa tarifa meridianbet

    Jibu

    Asante kwa taarifa
    Meridian

    Jibu

    Mko vizuri meridianbet kwa taharifa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.