Luis Enrique Kujifunga PSG

Makala iliyopita
Fagioli Akosa Mazoezi na Juventus LeoMakala ijayo
Pogba Hana Mpango wa Kurejea Man United
Kocha huyo wa kimataifa wa Hispania anatarajiwa kusaini mkataba mpya ambao uataendelea kumuweka ndani ya PSG mpaka mwaka 2027,kocha huyo anaelezwa tayari ameshakubaliana kila kitu na uongozi wa klabu hiyo na kinachosubiriwa kwasasa ni kumwaga wino kuendelea kusalia ndani ya viunga vya Parc de Princes.