Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Shakhtar Donetsk na Brazil Fred ambaye ana umri wa miaka 24 anasema anangojea kwa hamu kubwa kupokea simu ya meneja Guardiola …
Makala nyingine
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na Cardiff City Rickie Lambert ametangaza kustaafu leo kucheza mpira wa miguu baada kuutumikia kwa takribani miaka 19. Lambert 35 amechezea vilabu mbalimbali …
Hapo juzi viwango vipya vya ubora wa FIFA vimetangazwa ambapo timu za kandanda za mataifa ya Kenya na Tanzania zimeshuka sana! Hiyo ni orodha ya kila mwezi inayotolewa na FIFA. …
Kumekuwa na habari kutoka kwenye vyombo vya habari huko Uingereza ambazo zinaripoti kwamba mchezaji nafasi ya kiungo David Silva yupo mbioni kusepa kwenda Uturuki kukipiga kwa Fenerbahce! David Silva amekuwa …
Klabu ya soka ya Burnley imemnunua mshambuliaji Chris Wood anayetokea kule Leeds United! Bei yake imetajwa kuwa ndiyo iliyovunja rekodi ya klabu hiyo katika usajili ambapo ni dau la takribani …
Siku kadhaa nyuma kulikuwa na habari kwamba klabu ya soka ya AS Roma imeanza kukata tamaa ya kumnasa mchezaji Riyad Mahrez! Ilikuwa ni mara baada ya wao kuona kuwa klabu …
Kumekuwa na habari kuwa moja ya timu za kule Uturuki, Fenerbahce inamtamani sana nyota wa klabu ya soka ya AC Milan, M’Baye Babacar Niang na kuwa wameshatangaza kusudi la wao …
Mchana wa leo kuna mtanange mkali wa kuwania Kombe la International Champions kule dimbani National, Singapore ambao utakuwa ni kati ya Mabingwa wa Uingereza na wale Mabingwa wa Ujerumani! Katika …
Wakati ambapo kuna ripoti za klabu ya soka ya Barcelona kuwa ina uwezekano wa kumtoa Ivan Rakitic ili imsajili mpiga soka wa kimataifa wa huko Italia, Marco Verratti anayekipiga pale …
Kuna habari zikitanabaisha ya kuwa nyanda wa klabu ya Manchester City, Joe Hart ameshafuzu vipimo vya afya! Sasa ameshakamilisha usajili wa mkopo kukipiga kwa klabu ya West Ham United. Man …
Kwa mujibu wa mtandao wa Sun imeripotiwa kwamba klabu ya kule Ligi Kuu ya Uingereza, Manchester City watafanya juu chini ili kukamilisha mpango wa kumnasa beki Dani Alves juma hili! …
Ikiwa kuna tetesi za mpango wa klabu ya soka ya Real Madrid kumuwinda msakata kabumbu kinda Kylian Mbappe habari zinasema kuwa vyombo vya habari vya huko Uhispania vimetoka na ripoti …