Dumfries Aongeza Mkataba Inter Milan
Makala iliyopita
Guardiola: Rodri Hatacheza tena Msimu huu
Makala ijayo
Kevin de Bruyne Kuikosa Newcastle Kesho
Beki huyo ambaye amejiunga na klabu ya Inter Milan mwezi Juni mwaka 2021 amekua na mwendelezo bora wa kiwango ndani ya timu hiyo chini ya kocha Simeone Inzaghi, Kitendo ambacho kimewavutia mabosi wa klabu hiyo kuendelea kuhitaji huduma yake ndani ya kikosi hicho.