Napoli Wamlilia Kvaratskhelia
Makala iliyopita
Ntibazonkiza Apewa Thank You Simba
Makala ijayo
Deogratius Dida Asimulia Mkasa Wake na Mudathir.
Mpango mkakati wa klabu ya Napoli chini ya Rais De Laurentiis ni kumuongezea mkataba winga huyo mpaka mwaka 2025 huku pia kumuongezea mshahara ikiwa ni moja kipaumbele, Inaelezwa wanajiandaa baada ya michuano ya Euro 2024 kumalizika ndio watalifanyia kazi suala hilo.