Rabiot: "Juventus Inaweza kushinda Scudetto"

Adrien Rabiot anasisitiza kuwa sare ya 1-1 nyumbani na Inter ni matokeo mazuri na anakiri wachezaji wa Juventus wanazungumza kuhusu kufanya changamoto ya Scudetto. ‘Naamini tunaweza kufanya hivyo.’

 

Rabiot: "Juventus Inaweza kushinda Scudetto"

The Bianconeri walikuwa wamepata bao la kuongoza kwenye Derby d’Italia usiku wa jana kupitia kwa Dusan Vlahovic kwa pasi ya Federico Chiesa, lakini likafutiliwa mbali kabla ya kipindi cha mapumziko na Lautaro Martinez.

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

“Nadhani ni matokeo mazuri. Tulitaka kushinda, ni wazi, lakini ni timu ngumu sana kucheza nayo. Hatujamaliza hata nusu ya msimu, kwa hivyo tuna muda wa kuchukua pointi zaidi,” Rabiot aliiambia DAZN.

Rabiot: "Juventus Inaweza kushinda Scudetto"

Kipindi cha pili kilikuwa na usawa zaidi na hakikuwa na fursa nyingi, hakika watafanya vyema katika mechi zijazo. Alisema mchezaji huyo.

Bao la ufunguzi la Vlahovic lilionyesha jinsi wachezaji wenzake wa zamani wa akademi ya vijana ya Fiorentina, Chiesa na Mserbia huyo wanavyoelewana.

Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Rabiot: "Juventus Inaweza kushinda Scudetto"

Rabiot aliongeza Dusan ni mchezaji mzuri na ana uhusiano huo na Chiesa, kwa hivyo ana furaha kwa wao kujumuika kufikia lengo hilo.

Na kwamba lengo la Juventus ni kumaliza katika nafasi nne za juu na kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa, lakini Rabiot haonekani kuwa na kumbukumbu hiyo.

Lengo wanalozungumza kwenye chumba cha kubadilishia nguo ni kushinda Scudetto. Wao ni mabingwa, lazima wafahamu hilo na wanaamini wanaweza kufanya hivyo.

Rabiot: "Juventus Inaweza kushinda Scudetto"

Pengo lililo kileleni kwenye msimamo linasalia kuwa pointi mbili pekee kati ya viongozi Inter na Juve wanaoshika nafasi ya pili, huku sare hiyo ikiruhusu Milan na mabingwa watetezi Napoli kukaribia safu ya pili.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.