Liverpool: Klabu Haiuzwi

Mwanzoni kulikuwa na ripoti kuwa binamu wa mmiliki wa Manchester City Sheik Mansour  alikuwa anahitaji kuinunua klabu ya Liverpool na kubainisha kuwa alikuwa kwenye mazungumzo ili aweze kuinunua timu hiyo. Taarifa zilizopatikana hivi karibuni ni kwamba binamu wa mmiliki wa klabu ya Manchester City ameshindwa kuinunua Klabu hiyo kwa thamani ya Euro Bilioni 2. Hata hivyo chanzo cha habari kutoka Liverpool kinadai kuwa klabu hiyo haikuwa ikiuzwa japokuiwa walikuwa wakipokea maombi kadhaa kutoka kwa wanaotaka kununua.

katika kukanusha taarifa kuwa kulikuwa na mazungumzo yeyote yaliyokuwa yakiendelea kwa ajili ya kuiuza timu hiyo chanzo kutoka katika klabu hiyo kimedai kuwa hakuna mazungumzo yanayoendelea isipokuwa kwa masharti sahihi Liverpool itawapokea wawekezaji wachache ambao wanaweza kufanya ubia wa kibiashara wenye manufaa kwa maendeleo timu klabu.

3 Komentara

    Asante kwa taarifa meridianbet #

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.