Barcelona Yahamia kwa Olmo
Makala iliyopita
Yanga Yaibamiza Vibaya Kaizer Chiefs
Makala ijayo
Yacouba Sogne Arudi Kukipiga Bongo
Kiungo huyo wa kimataifa wa Hispania ana mkataba na klabu ya Rb Leipzig lakini Barca wanaamini wanaweza kumshawishi kiungo huyo kujiunga nao kuelekea msimu wa 2024/25, Ikumbukwe kiungo Dani Olmo ni zao la klabu ya Barca ambapo alilelewa katika shule ya kukuza vipaji ya La Masia.