Barcelona Watuma Ofa ya Pili Leipzig
Makala iliyopita
Toure Akubaliana Masharti na Stuttgart
Makala ijayo
Nketiah Kutimkia Marseille
Dani Olmo amekua mchezaji anayefuatiliwa kwa karibu kwasasa sokoni kutokana na ubora ambao ameuonesha kwenye michuano ya Euro mwaka 2024 iliyopigwa nchini Ujerumani, Manchester City nao wakitajwa kama klabu ambayo inafukzuia saini ya mfungaji bora wa Euro 2024.