LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema hatakuwa na huduma ya wachezaji wake wawili, Haruna Niyonzima na Mapinduzi Balama ndani ya Yanga mpaka msimu ujao wa 2020/21.
Viungo hao kwa pamoja wamehusika kwenye jumla ya mabao matano ndani ya Yanga katika ligi kuu, Niyonzima akiwa amefunga bao moja, huku Mapinduzi akitupia matatu na asisti moja. Eymael amesema kuwa viungo hao wanasumbuliwa na majeraha ambayo yatawafanya wakae nje ya uwanja hadi msimu huu unamalizika.

“Niyonzima na Mapinduzi sitakuwa nao kwenye mechi za ushindani zilizobaki kwa sasa mpaka msimu ujao kwa kuwa wanasumbuliwa na majeraha, hivyo ninaamini watakapokuwa fiti watarejea uwanjani kwa ajili ya msimu ujao,” alisema Eymael.
Niyonzima anasumbuliwa na maumivu ya goti, aliyapata kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Biashara United, lakini baadaye akacheza mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam dhidi ya Simba ambapo inaelezwa alisikia maumivu, akatolewa, huku Mapinduzi akiumia kwenye mazoezi wakati Yanga ilipokuwa inajiandaa kucheza na Ndanda.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.


Franky
Safii wana yanga mmpo
Theckla
Pole yao
Genia Sikaluzwe
Wana yanga kazi mnayo
Amani
Mambo yanazidi kuwa magumu# meridianbettz
Dorophina
Sio mbaya Kwan wasipokuwepo wao magoli hayatofungwa watafunga km kawaida pole yao watakaa sawa tu
Evaluziga
Safi sana Wana yanga mmpo
Omary lukumbi
Sio mbaya nilijua wanataka kuondoka
Theonestina
Wanayanga pole yao
MnonganeJR
Asnte kwa update za michezo#meridianbettz
Elika
Kila la heri kwao..wana jangwani msikate tamaa
aisha
Tunawapa pole sana kwa kupata majelaha
felister
Niyonzima ndo nani jamani kwani bila ya yeye wanayanga hatuwezi cheza acheni izo wanasimba
caroline
poleni sana yanga
Zeiyana
Poleni sana mashujaa wetu
Magdalena
Mimi nikakuta ndo basi Tena yanga kumbe wanapumzika
Tatu
Pole sana haluna hii habari mbaya kwa mashabiki wa yanga
JULIANA
Mmmmh! Ya Ngoswe muachie Ngoswe
Flomena
Pole yake
Ester jackson
Poleni sana mashujaa wetu mnaejua sheria na kanunu za mchezo wa mkataba mlio saini
Antony Luseno
Majeraha kwa wachezaji uwa yanayumbisha timu
Lydia Emmanuel Magoti
Poleni Sana yanga kilicho baki mpambane tuu
mwakalosi
utopolo na timu yao ushindani gani hao wao wa kubaki hapahapa
Salma
Ni habari mbaya kwa sisi mashabiki
Leonard
Wapone haraka
Issa
Dah pengo kubwa jangwani
Emmy cleopa
Mhh pole yake
Ernest
Hapa wazee wa jangwani wanawaza vipi watapata mbadala wao maana adi wapitishe bakuli sio leo
Shafii
Ni pengo kwa wana yanga.
Furahav
Mmesikia wana yanga?
Hope mwaikuka
Pole kwao
Fatuma kasomo
Poleni yanga
Gabriel
Habar ya kusikitisha sana ila bado tunaiman tuko vzur tena sana
Amiri Kayera
Uzur league inaishia
sabrina
Duuuh pole yao
lombo
nouma san
Povel tz
Get we’ll soon
Neema juma
Pole yao
Samiah
Pole yao yanga
Saupha mohamed
Pole yake
Njiku
Bonge la pengo hilo
Aziza mushi
Pole yao
Rehema
Pole yake
Tahiya
Wananchi ni muda wa kupitisha bakuli ili kusajir mbadala wa wachezaji hao
Khadija
Mambo yanazid kuwa magumu#meridianbettz
Mariam mtandama
Duuuh
Samira
Mambo yanazidi kuwa magumu
David Pere
Ligi yenyewe umeshaisha haina shidaaa
devotha
duu yani kila kukicha mambo yanazidi kuharibika
mwajumah
Poleni sana yanga#Meridianbettz