Van Persie: Man U Waiheshimu Sevilla

Kunako Michuano ya Europa, mchezo wa Manchester United dhidi ya Sevilla katika hatua ya nusu fainali unatizamwa kipee na Robin Van Persie.

Baada ya kuwagaragaza FC Copenhagen katika hatua ya robo fainali, Man United sasa watamenyana na Sevilla ambao waliwaburuza Wolves katika hatua ya robo fainali. Huu ni mchezo wa aina yake katika kutafuta tiketi ya kucheza fainali ya Ligi ya Europa wiki ijayo.

Van Persie
Sevilla kukutana na Manchester United hatua ya nusu fainali ya Europa.

Akizungumza na Stats Platform News, Van Persie amesema ” Sevilla ni kati ya timu zenye nafasi ya ubingwa lakini wanapaswa kuitafuta kupitia Man United. Ni wapambanaji wa makombe na wamekuwa wakifanya hivyo mara zote.”

“Ilikuwa bado kidogo nifanye nao mazungumzo kabla sijajiunga na Arsenal (2004), ilikuwa ni moja kati ya timu tatu ambazo ningeweza kujiunga nao. Ilikuwa inanishawishi kwenda Sevilla lakini niliamua kuichagua Arsenal.”

Van Persie
Wachezaji na viongozi wa Sevilla wakifurahia ushindi wa Kombe la Europa baada ya kuwafunga Liverpool 3-1 kwenye mchezo wa fainali.

Sevilla wamewahi kubeba Kombe la Europa mara 5, mara mbili kipindi kombe hilo [Europa] likijulikana kama UEFA Cup na mara 3 mfululizo kuanzia mwaka 2014-2016. Hii ni moja ya sababu ambayo Van Persie anaiona kama ni angalizo wa Ole Gunnar Solskjaer.

Man United wamemaliza msimu wakiwa katika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa EPL msimu huu na kuwapa tiketi ya kushiriki michuano ya UEFA msimu ujao. Wakiwa na rekodi ya kupoteza michezo miwili ya nusu fainali msimu huu, Van Persie amesema;

Van Persie
Van Persie akifurahia ubingwa wa EPL msimu wa mwaka 2012/2013 akiwa Man United

“miezi kadhaa iliyopita [Man United] wameonesha uwezo chanya lakini wanapaswa kuonesha uwezo huohuo  katika michuano hii.  Siwezi kusema kwamba wasiposhinda basi hawajafanikiwa kitu msimu, La hasha! baada ya mapumziko (ya Corona) wameonesha uwezo mkubwa na jambo jema kuelekea msimu ujao.”

Robin Van Persie alikuwa mchezaji wa Manchester United na alifanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza – EPL mwaka 2012/2013, hiyo ndiyo mara ya mwisho kwa Manchester United kubeba ubingwa wa EPL mpaka sasa.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

38 Komentara

    mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Van persie yuko sahii,mana sevila nao wako vizuri.

    Jibu

    Tx for news

    Jibu

    Ni kweli maneno yake lkn wakumbuke mchezo hautabiliki lolote linaweza kutokea kwenye mchezo

    Jibu

    Van persie anaiwazia timu yake jamani#Meridianbettz

    Jibu

    Itabidi wajipange haswaa man United maana Sevilla sio timu ya mchezomchezo

    Jibu

    Tahadhari ya mkongwe Van Persie ni sahihi hasa nikizingatia kiwango duni wachoonyesha Man U mechi yake na dhidi ya Copenhagen#meridianbettz

    Jibu

    Yap ni Jambo zuri kumuheshimu mpnzan wako kila la kheri man United kpnz cha wengi

    Jibu

    Van persie yuko sahihi sevilla ndiye bingwa Mara nyingi wa kombe hilo inapaswa ajipangee.

    Jibu

    Hii mechi kal sana 👍

    Jibu

    Sevila ndio bingwa mara zote wakombe hilo

    Jibu

    Nice👏

    Jibu

    Ahsanteni kwa kutujuza haya

    Jibu

    Mechi kali

    Jibu

    Man u watafika fainal sevilla hawana historia mbele ya man

    Jibu

    Jambo ni shabiki mkubwa wa man united lakin haipaswi united kuidharau Sevilla kwenye michuano hii kikubwa kucheza soka la nguvu na kua makin dakika zote 90

    Jibu

    Kweli kabisa kwa hasaivi inatajiwa kila timu kuiheshimu mpizani wake kusubiri matokeo mana sasa yunaona ambao hawatabiriki kushinda sasa wanashinda .

    Jibu

    Heshimaa lazima iwepo!!!

    Jibu

    Hii mechi kali sana#Meridianbettz

    Jibu

    👏👏@meridianbettz

    Jibu

    Hii mechi ni yakibabe sana

    Jibu

    Man Chester utd ya sasa si ile ya zamani kwa watokea waliyo kua nayo sijui kama wataweza kweli..!mabingwa wanajulikana

    Jibu

    Hii mechi ya kibabe

    Jibu

    Huu mtanange utakua hatari hii mechi sio ya kukosa.

    Jibu

    Namuwerewa Van Persie kitambo anajua jembe hilo

    Jibu

    lolote linaweza kutokea mpira dk 90

    Jibu

    Ni kweli Sevilla wapo vizuri

    Jibu

    Man wanatakiwa kujipanga sawasawa

    Jibu

    Salute kwa Van Persie maana ameongea kitu cha kuwafanya wachezaji wa Man U kuwa macho zaidi

    Jibu

    Sevilla timu bora Sana’a na kubwa sana hasa kwa kombe la uropa wanahistoria nzuri sana na kombe hilo man wanatakiwa waende kupambana

    Jibu

    👏👏👏👏

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Yuko sahihi kabisah lolote linaweza kutokea

    Jibu

    Baada ya kuwagaragaza FC Copenhagen katika hatua ya robo fainali, Man United sasa watamenyana na Sevilla ambao waliwaburuza Wolves katika hatua ya robo fainali. Huu ni mchezo wa aina yake katika kutafuta tiketi ya kucheza fainali ya Ligi ya Europa wiki ijayo.

    Jibu

    sevilla tutaipa heshima sababu ilitufunga hatuna namna

    Jibu

    Mwisho wa dk 90 man u out.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.