Daniel Cormier Atampiga Stipe Miocic?

Mabondia hawa wanakutana kwenye pambano lionalowakutanisha kwa mara ya tatu. Pambanohili ni pambalo linatarajiwa kuwa gumu zaidi ya mapambano yaliyopita.

Wawili hawa watakuwa wanakutana ulingoni wikiendi hii kwenye ndondi za UFC uzani mkubwa (UFC Heavyweight). Wanakutana katika ulingo utakaokosa mashabiki viwanja vya Las Vegas.

Katika pambano la kwanza Daniel Cormier alimtandika Miocic, kisha Miocic naye akalipa kisasi kwenye pambano la pili walipokutana mara Agosti 2019 kwenye UFC Middleweight.

Daniel Cormier Atampiga Stipe Miocic?
Daniel Cormier vs Stipe Miocic 2019

Wataalamu wanasema pambano hili la tatu linalowakutanisha mabondia hawa ni pambano gumu ziaid kutabiri nani anaweza kuibuka kidedea na ni pambano ambalo litawavutia wemngi.

Hata hivyo, bondia Darren Stewart anatabiri kuwa huu utakuwa wakati wa Miocic kunyosha mikono na kukubali Cormier kurejesha kisasi.

Japokuwa si kazi rahisi kujua mshindi kutokana na kubadilika badilika kwa mbinu za Miocic, Miocic utakuwa ni wakati wake wa kupindua meza. Yuko tayari kulala macho kwa ajili ya pambano hili.

 


 

Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

38 Komentara

    Tusubirie na tuone nani atampiga mwenzake: Ila huu mchezo wataka moyo sana

    Jibu

    Huu mchezo hautabiriki ngoja tusubilie ndani ya kiwanja#Meridianbettz

    Jibu

    Ulikuwa mchezo wa kusisimua kuangalia,mchezo sio rahisi kutabiri mshindi. Hongera zake#meridianbettz

    Jibu

    Tunasubir kwa hamu ss wapenz wa masubwi

    Jibu

    Pambano gumu Sana.

    Jibu

    Katika mapambano ambayo yako vzur sana na hatar n UFC hayo ni mapambano ambayo yakibabe kabisa wawili hawa watakuwa wanakutana ulingoni wikiendi hii kwenye ndondi za UFC uzani mkubwa (UFC Heavyweight). Wanakutana katika ulingo utakaokosa mashabiki viwanja vya Las Vegas

    Jibu

    💪💪

    Jibu

    Ngoja tuone

    Jibu

    pambano gumu zaid kutabiri nani anaweza kuibuka kidedea na ni pambano ambalo litawavutia wengi.

    Jibu

    Hapa kazi ipo

    Jibu

    Daniel atalinda historia yake

    Jibu

    Tutalisubir kwa ham sana kama tulipo lingoja pambano la mtanzania mwenzetu.mwakinyo

    Jibu

    Daniel yuko vizur

    Jibu

    Game itakuwa kali sana

    Jibu

    Pambano la wakali

    Jibu

    Mchezo mzuri xana huu!!!

    Jibu

    Mpambano unaonekana utakuwa mgumu sana tunasubilia kuona nan ataibuka kidedea

    Jibu

    Huu mchezo hautabiliki ngoja tuone ndan ya uwanja

    Jibu

    Mashabiki tunasubiri kwa hamu sana ili pambano@meridianbettz

    Jibu

    Duuh hapo matokea ni baada ya mchezo lakini ukisema utabili kwa mdomo utakosea sana

    Jibu

    Hawa mabondia wanatafutana sana subiri tuone mwisho wake kwenye pambano la leo

    Jibu

    Huu mchezo huwa naupenda sana

    Jibu

    Daniel wat u hatupendi maneno tunataka kuona ngumi jiwe chembe kidevu umkalishe mtu.

    Jibu

    Huu mchezo autabilikagi ngoja tuone utavyo kuwa pambano hilo

    Jibu

    Tusubiri tuone itakuwajee

    Jibu

    Pambano LA nguvu

    Jibu

    pambano kali sana hili

    Jibu

    Hapo pambano tu ndo litaamua nani mbabe zaidi ya mwenzake

    Jibu

    Asante

    Jibu

    Litakua pambano la Aina yake nomaa Sana.

    Jibu

    Wababe wakitambiana

    Jibu

    Pambano kali

    Jibu

    Wote wapo vzr tusubir matokeo kat yao nani mbabe

    Jibu

    Pambano kali ngoja tujionee wenyewe

    Jibu

    Ulikuwa mchezo wa kusisimua kuangalia,mchezo sio rahisi kutabiri mshindi. Hongera zake

    Jibu

    michuano ilikuwa mikali sana

    Jibu

    Pambano lilikua gumu sana.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.