Timu ya Simba imejikusanyia alama 3 za kwanza kutoka kanda ya ziwa katika lile lengo lao kukusanya alama 9. Timu hiyo ilipata ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Mwadui FC, …
Makala nyingine
Mashabiki wa Yanga bado hawana furaha na timu yao na wala hawakubaliani na jinsi chama lao linavyotaabika mbele ya timu ndogo katika mechi zao za Ligi Kuu, lakini kiungo wao, …
Ikiwa ni siku moja tu imepita baada ya mwekezaji wa Simba Mo Dewji kutoa maelezo yanayoonekana kuwa na hali ya masikitiko na kukata tamaa kutokana na vizuizi vinavyoweka na FCC, …
Kocha wa Simba Sc, Didier Gomez asema anaamini huu ni wakati sahihi wa kurudi kileleni mwa msimamo wa ligi kuu bara, VPL. Akizungumza na Mshikemshike ya Azam Tv, Gomez amedai …
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limetoa taarifa kwamba litatembelea viwanja nane vitavyotumika katika robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika ili kuangalia uwezekano wa kutumia usaidizi wa uamuzi …
Mwekezaji wa Simba, Mo Dewji amekiri kwamba kwa sasa timu hiyo ni moja kati ya timu kubwa sana barani Afrika. Simba imeingia kwenye robo fainali ya michuano ya klabu bingwa …
Baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 na kuwashusha Simba kutoka kwenye nafasi ya pili ya msimamo, Kocha Mkuu wa kikosi cha Azam, George Lwandamina amesema kuwa bado haridhishwi …
Kocha wa muda timu ya Yanga, Juma Mwambusi anadai kwamba kuna baadhi ya wachezaji wa timu yake walikuwa na kiwango cha chini tofauti na alivyotemegemea, baada ya kutoka sare ya …
Msimamo wa Ligi kuu Tanzania Bara VPL uko hivi:- Yanga SC akiwa anashika nafasi ya kwanza huku akiongoza kwa pointi 50, wakati wapili akiwa Simba SC akiongoza kwa pointi 46, …
Zimwi likujualo, halikuli likakwisha. Ndicho kinachokwenda kuwatokea Dar es Salaam Young Africans – Yanga SC. Baada ya kutemana na Hamis Tambwe, 2018/19. Klabu hiyo ilishtakiwa kwa kutomlipa Tambwe Stahiki zake …
Kuelekea muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara [VPL], baadhi ya timu zilizokuwa na michezo pungufu kuanza safari yao mapema. Simba SC na Namungo zinamichezo pungufu, hii ni kutokana na ushiriki …
Bodi ya Ligi (TPLB) imethibitisha kuwa Februari 13, 2021 ndio tarehe rasmi ya Ligi Kuu Tanzania Bara – VPL kurejea viwanjani. VPL ilisimama kwa muda ili kupisha mashindano ya Mapinduzi …
Klabu ya Simba SC imekanusha fununu zinazosambaa kuwa wamemchagua Patrick Aussems kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo. Aussems aliwahi kuwa kocha wa timu hiyo kabla ya kuondoka klabuni hapo na …